elmagnifico
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 8,260
- 9,747
kifo cha mende ndo style mama nyingine mbwembwe tu!!!!!!
hiyo dhambi ya kula 0712,humo simo mkuu,napita njia iliyohalalishwa
Mambo ya style ni ya kwetu sie Dot.com zamani siamini km yalikuwepo
Ndiyo mwisho wanaelekea kwenye 0715
Kuweka dushelele kwenye pua,masikioni,makwapani
Kwasasa umaridadi wa tendo haupo inayojulikana ni Kokrochi tu.
Hiyo dhambi ni matunda ya kuangalia picha za ngono, zamani mambo ya kutumia 0712 yalikuwa hayaongelewi kama ilivyo sasa.Jamani tuchambue pumba na mchele!!!
Unamaanisha?
Habari zenu wana MMU!!!!
Leo nataka niongee na wanandoa, Yes wewe mume haswaa!
Hebu fanya tathmini ya ufanyaji wako wa tendo la ndoa na mkeo,
unaonaje, ni wa kukariri na kujirudia rudia au ni wa kubadilika kila siku??
Kaa ukielewa kuwa wanawake wanapenda mwanaume ambaye" Hatabiriki" .
Mzee mwenzangu usiwe umekariri jinsi ya kucheza mechi yako kiasi kwamba wife anajua kwamba, ukishakaa mkao huu kinachofuata ni hivi kisha vile then mchezo unaisha!!
Jaribu kuwa mbunifu na kubadilika badilika.