Tusi jipya......

Jestina

JF-Expert Member
Jan 6, 2011
4,831
1,710
masaburi yako! lol

limekaa kimodern,haliumizi kama mengine, ni rahisi kulitamka mie nimelipenda!,,,,,hata hapa JF nimeona limeanza kutumika bila kula BAN...lol
 
masaburi yako! lol

limekaa kimodern,haliumizi kama mengine, ni rahisi kulitamka mie nimelipenda!,,,,,hata hapa JF nimeona limeanza kutumika bila kula BAN...lol

No Comment........... Ila Kuna Ukweli Hapo
 
masaburi yako! lol<br />
<br />
limekaa kimodern,haliumizi kama mengine, ni rahisi kulitamka mie nimelipenda!,,,,,hata hapa JF nimeona limeanza kutumika bila kula BAN...lol
<br />
<br />
kama umelipenda basi we masaburi.mia
 
katika kiungo ambacho kila jina linafit ni makalio.....manake wengine wanaita tukunyema,wowowo,ngongingo,inye,mkia,wezere,bomole che,....leo masaburi!!!mmmh!kweli lugha inakua
 
Back
Top Bottom