memory card
JF-Expert Member
- Dec 17, 2013
- 252
- 153
kuna video player yoyote kwa android inaweza kuonyesha "SABTAITO" hata kama movie haina
Mx player, ila itabidi udownload subtitle then u insert wakati una play hyo movie.kuna video player yoyote kwa android inaweza kuonyesha "SABTAITO" hata kama movie haina
Mx player, ila itabidi udownload subtitle then u insert wakati una play hyo movie.
iinstall GetApk(hii hapo play store) kisha nenda kaifungue hiyo application inayouzwa usi-install, shuka kwenye a lama ya kushare application, zitakuja option tofauti so shere kwenye GetApk. itatokea vition za hiyo app chagua iliopo juu zaidi na yenye rangi ya kijani kisha upand wajuu kulia itakuandikia get gusa hapo itaanza kudownload hiyo app then install.Dah hiyo poweramp nimeingia playstore kumbe inauzwa jamani msaada Sumsang A5 adroid 6
Haitazingua tena ikifika siku 14?iinstall GetApk(hii hapo play store) kisha nenda kaifungue hiyo application inayouzwa usi-install, shuka kwenye a lama ya kushare application, zitakuja option tofauti so shere kwenye GetApk. itatokea vition za hiyo app chagua iliopo juu zaidi na yenye rangi ya kijani kisha upand wajuu kulia itakuandikia get gusa hapo itaanza kudownload hiyo app then install.
hii si lazima simu iwe rooted. eg mimi sijaroot ila nimeweka poweramp ya kununua.
Haizingui.Haitazingua tena ikifika siku 14?
HaitazinguaHaitazingua tena ikifika siku 14?
Mkuu nimefata taratibu zote kama ulivoelekeza na nimefika hadi mwisho ....baada ya kumaliza kuinstal trial ndo shida inaanza ukiifungua tu inasema.....NOT LICENCEDiinstall GetApk(hii hapo play store) kisha nenda kaifungue hiyo application inayouzwa usi-install, shuka kwenye a lama ya kushare application, zitakuja option tofauti so shere kwenye GetApk. itatokea vition za hiyo app chagua iliopo juu zaidi na yenye rangi ya kijani kisha upand wajuu kulia itakuandikia get gusa hapo itaanza kudownload hiyo app then install.
hii si lazima simu iwe rooted. eg mimi sijaroot ila nimeweka poweramp ya kununua.
Msaada....naomba kufahamu jins ya kupata build number ya simu ambayo iko bricked..nia kubwa ni jPoweramp tangu niichakuchue haijawahi dai ninunue hadi nilisha sahau...
Labda wewe ulikosea tu kuichakachua.
call blocker ina rangi flani nyekundu ni hatar chek playstore au kama unatumia tigo piga *35*0000# hapo ukipigiwa hupatikani ila meseji itaingia na weww una weza kuwapigia na kutext data pia kama kawa, kujitoa #35*0000#Hivi app gan nzuri ya kunblock mtu asipge wala kutuma text
Simu aina gani hiyo mkuu?Msaada....naomba kufahamu jins ya kupata build number ya simu ambayo iko bricked..nia kubwa ni j
Kupata stock ROM