ESPRESSO COFFEE
JF-Expert Member
- Sep 6, 2014
- 6,170
- 7,661
Framrootzipi ni app mbadala?
Framrootzipi ni app mbadala?
Ingia hapq hii app ni suluhu ya tatizo lakoWakuu nwenye kujua app nzuri ya kublock "kuzuia" namba lengwa isiingie "kuita" kwenye simu yangu na sms yake km ipo, haswa simu naomba nijuzwe
Nenda google search andika download blackmart app store app store hiyo utaweza kudownload app zote zinazouzwa play store bure full version hasanteNaomba mwenye link nitakayopata poweramp full version bila kulipia aniwekee hapa
ila nime root simu yangu mkuu so itakubali kweli?Ingia hapq hii app ni suluhu ya tatizo lako
Calls Blacklist - Call Blocker - Android Apps on Google Play
Android system haiwez shambuliwa na virusAntivirus gani ni Nzuri kwa Android au Tablets
Mkuu natumia sim ya tablet yenye mfumo wa Android na nisipoweka antivirus hufikia muda ikajizima kabisa.,pia zipo tablets zenye mfumo wa Android pia husumbuliwa na virus,simu yoyote inayoweza kudownload kitu lazima inashambuliwa na virus.,hata kupeana vitu kwa bluetooth pia unaweza kupata virus.,sasa cjui unaposema hivyo unamaanisha nn.,tupe darasa huru.,Nilichohitaji kufaham ni Antivirus gani nzr.,inayoweza kuzuia shambulio na kusafisha simu.maana cko nying mno.Android system haiwez shambuliwa na virus
Kumbe unajua sababu za virusMkuu natumia sim ya tablet yenye mfumo wa Android na nisipoweka antivirus hufikia muda ikajizima kabisa.,pia zipo tablets zenye mfumo wa Android pia husumbuliwa na virus,simu yoyote inayoweza kudownload kitu lazima inashambuliwa na virus.,hata kupeana vitu kwa bluetooth pia unaweza kupata virus.,sasa cjui unaposema hivyo unamaanisha nn.,tupe darasa huru.,Nilichohitaji kufaham ni Antivirus gani nzr.,inayoweza kuzuia shambulio na kusafisha simu.maana cko nying mno.
Iko vizuri ila kuna Zona TV Iko vizuri zaidiImefanyaj mkuu