Idimi
JF-Expert Member
- Mar 18, 2007
- 14,967
- 10,461
Ni cha mtandao gani na unalipaje?Kwani kile cha gb 60 cha voda hukijui?
Ni cha mtandao gani na unalipaje?Kwani kile cha gb 60 cha voda hukijui?
Uni ofa ya tigo napata dakika 200 na 1.2GB ya internet kwa 1500 kwa wiki. Ila spidi ndogo sanaTigo wezi lkn wana uni offer ya 1500 kwa wiki wanatoa mb 500
Lakini speed ya konokono!TTCL Bandika Bandua 8GB kwa week kwa 5000
Mkuu unaipataje hiyo offer,nina line ya chuo ya tigoUni ofa ya tigo napata dakika 200 na 1.2GB ya internet kwa 1500 kwa wiki. Ila spidi ndogo sana
Inategemea mahali ulipo, kwa sababu menu iko tofauti.Mkuu unaipataje hiyo offer,nina line ya chuo ya tigo
Hivi mnaosema tigo ni wezi mnaungia wapi hivyo vifurushi vyenu?? Mi sijaona mtandao nafuu owa internet kama tigo.Tigo wezi lkn wana uni offer ya 1500 kwa wiki wanatoa mb 500
Hauna 4G mkuu. Mi nina 4G ya tigo ni kugusa tuUni ofa ya tigo napata dakika 200 na 1.2GB ya internet kwa 1500 kwa wiki. Ila spidi ndogo sana
Naona hiyo ya *147# wananiletea gb 1 siku 7 kwa alfu mojaInategemea mahali ulipo, kwa sababu menu iko tofauti.
*148*00#, chagua namba 1 (Ofa maalum), bonyeza OK. Nenda namba 2, University Ofa.
*147*00#, chagua namba 1 (ofa chapchap), bonyeza OK. Nenda namba 1, 1500 dkk 215 na 1.2 GB kwa wiki.
Jaribu ulete majibu
Laini ya chuo hiyo mkuu auHiyo ndiyo tigo wakuu. Nimeweka na kapicha kama utamaduni wetu wanaJF View attachment 964024View attachment 964025View attachment 964027
Tupe muongozo mkuu kinaungwa vipiKwani kile cha gb 60 cha voda hukijui?
Satellite internet inakuaje .??? Fafanua.Sisi wa Satellite internet tucoment wapi?
kweli nakuunga mkonoTigo ni wezi wa kutupwa!
Kwa mimi ninapokaa TTCL speed yao ndo nzuri kushinda wote! Na bundle haliishi haraka kama kwa mitandao mingineLakini speed ya konokono!