Mkuu Univ offer za tigo hazifanani. Wengine wanapewa bundle kubwa, wengine dogo. Mimi nimeshushwa kutoka kwenye kubwa hadi ndogo.Hivi mnaosema tigo ni wezi mnaungia wapi hivyo vifurushi vyenu?? Mi sijaona mtandao nafuu owa internet kama tigo.
Mkuu Univ offer za tigo hazifanani. Wengine wanapewa bundle kubwa, wengine dogo. Mimi nimeshushwa kutoka kwenye kubwa hadi ndogo.Hivi mnaosema tigo ni wezi mnaungia wapi hivyo vifurushi vyenu?? Mi sijaona mtandao nafuu owa internet kama tigo.
Mambo yote iko ttcl sh 1000 gb 4 masaa 24,sh 5000 gb 8 wiki chagua bandika banduaHello guys, Uhitaji wa internet unazidi kuwa mkubwa kadri siku zinavyosonga mbele, Kumekuwa na changamoto hivi karibuni ya kupata vifurushi vinavyokidhi thamani ya pesa (gharama nzuri + ubora wa spidi + uwepo wa internet bila kukatakata au kupungua spidi na kushuka).
Kwa sasa nawatumia halotel kifurushi cha GB 13 kwa wiki (Sawa na gb 1.8 kila siku) kwa 15,000/=, spidi wako poa sana + bei ipo realistic + hakunaga kukata kata interenet ama spidi kupungua.
Mbadala wangu ni ttcl uni offer kwa line niliyojisajili enzi nipo chuo, napewa mb 600 kwa masaa 24 kwa kulipia 500/=, spidi ipo njema 4g + internet ipo stable hakunaga kupungua spedd ama net kukatakata ila tu changamoto ni kwamba huu mtandao una maeneo yake.
Nimeacha kuwatumia vodacom kwasababu hakuna spidi(mkoani) na bei za vifurushi zimepanda.
TUJUZANE: JE WEWE UNATUMIA KIFURUSHI GANI
Hiyo ndiyo tigo wakuu. Nimeweka na kapicha kama utamaduni wetu wanaJF View attachment 964024View attachment 964025View attachment 964027
Sasa afafanuwe vipi? Wewe hujui satelite?Satellite internet inakuaje .??? Fafanua.
Nunuwa line ya chuo ya Airtel achana na hizi porojo.Tufundisheni jinsi ya kujiunga
KULA 2GB KWA SIKU HALOTEL KWA 2000/=Mimi nimehamia Zantel kwa sasa wana ofa ya Bao unapata 1GB kwa 1000 bila kikomo speed iko vizuri pia.
Hio offer ni mpya kwangu, Unaungaje hizo GB 4 kwa bukuMambo yote iko ttcl sh 1000 gb 4 masaa 24,sh 5000 gb 8 wiki chagua bandika bandua
Sawa mkuu subiri Ni wagoogle ili niwafaham vizurSasa afafanuwe vipi? Wewe hujui satelite?
Tanzania ipo kampuni inaitwa Thuraya wapo Samora avenue opp na JM Mall inatowa huduma ya satelite phone malipo ni kwa dola, popote ulipo unatumia simu na internet hizi hazitumii minara zinatumia satelite.
Watalii wengi wakija kwenda mbugani hakuna mawasiliano wanazitegemea hizi satelite phone hazinaga mambo ya sijui network imejamba sijui signal weak, that is meaning of Satelite.
Hio satellite internet kama wanaweza kutumika kwenye cm tz nzima kama mitandao mingine comment humuhumuSisi wa Satellite internet tucoment wapi?
Kwani kile cha gb 60 cha voda hukijui?
Icho ni cha magendo mkuu... bei ni wewe unavo kubaliana na anae kuungia60 Gb's Hiki kikoje mkuu na bei yake ikoje
mimi natumia cha 10gb's elfu 35,000 kwa mwez speed iko powa sana - Halotel na Airtell ziko too slow nimeachana nazo
Tupe menu ya kuungaTigo unapata 2GB kwa buku.
Unapata MB 550 na dakika 65 kwa jero
Unapata 1.2GB na dakika 215 wiki nzima kwa buku jero.
Unapata 2.5GB na dakika 268 kwa wiki kwa buku mbili jero
Unapata GB 10 na dakika 1,070 kwa mwezu kwa 10,000 tu
Na ukiwa na 4G spid yake ni ya bombadia.
Nikichogundua kuna watu humu wanatumia line zao za tigo kupikia chai tu hawajui jinsi ya kuunga vifurushi vizuri.
Umetuacha njia panda mkuu, Tupe maelekezo ya kuungaTigo unapata 2GB kwa buku.
Unapata MB 550 na dakika 65 kwa jero
Unapata 1.2GB na dakika 215 wiki nzima kwa buku jero.
Unapata 2.5GB na dakika 268 kwa wiki kwa buku mbili jero
Unapata GB 10 na dakika 1,070 kwa mwezu kwa 10,000 tu
Na ukiwa na 4G spid yake ni ya bombadia.
Nikichogundua kuna watu humu wanatumia line zao za tigo kupikia chai tu hawajui jinsi ya kuunga vifurushi vizuri.
Ww unaunga kwa sh ngap?Icho ni cha magendo mkuu... bei ni wewe unavo kubaliana na anae kuungia
Mimi siungi mkuu ila nawajua wanao unga... na kuna mwengine amewahi post apa jukwaaniWw unaunga kwa sh ngap?
Niunganishe nao basiMimi siungi mkuu ila nawajua wanao unga... na kuna mwengine amewahi post apa jukwaani
Gb 1.2 mkuuTigo wezi lkn wana uni offer ya 1500 kwa wiki wanatoa mb 500
*147*00#Mkuu unaipataje hiyo offer,nina line ya chuo ya tigo
Mie nilipo aisee TTCL ni shida!Kwa mimi ninapokaa TTCL speed yao ndo nzuri kushinda wote! Na bundle haliishi haraka kama kwa mitandao mingine