Tushauriane vifurushi bomba vya internet

Tushauriane vifurushi bomba vya internet

*148*30# chagua 5 ttcl bando ok chagua 4 bandika bandua,hapo jimwage mnyewe mnyewe
🙂🙂🙂Nimekiona mkuum tatizo unapewa mb hizi gb 4 zipo limited kuendana na muda
asas.PNG

asas2.PNG
 
Miezi kadhaa nyuma Voda walikuwa na kifurushi cha 5GB kwa tsh 2,000 kwa mwezi, lakini hivi karibuni wamepandisha bei hadi tsh 2,500 unapewa 2gb kwa wiki tu afu bado speed ya kobe.

Natafuta mbadala
Hizo 2gb menu yake ndo ipi
 
Dah Airtel ndio wezi ile mbaya. Nimelipa 500 kununua yatosha internet bando ya saa 24 (siku) badala ya kupata 500MB kama walivyoeleza, nikashangaa kuona napewa hongera nimepata 150MB kwa Muda wa siku 1. Huu ni wizi mtupu.
 
Dah Airtel ndio wezi ile mbaya. Nimelipa 500 kununua yatosha internet bando ya saa 24 (siku) badala ya kupata 500MB kama walivyoeleza, nikashangaa kuona napewa hongera nimepata 150MB kwa Muda wa siku 1. Huu ni wizi mtupu.
Wenzako wanaotumia line za chuo unawaona vichaa?

Airtel mpango mzima upo kwenye UNI.
 
Back
Top Bottom