swahiba Senior
JF-Expert Member
- Nov 12, 2016
- 2,479
- 3,613
Nina voda ya chuo.. Nisaidieni menu ya kujiunga.
😂 😂 😂Maisha yanatofautiana ,,Mara nyingi naingia JF kupitia freebasics lakini kuna mtu pia anajiunga kifurushi cha internet tu cha 15'000 kwa wiki bado cha dakika na SMS ,
Vyuma vimelegea aise
eti network imejamba 😃😄 nimecheka sana....Sasa afafanuwe vipi? Wewe hujui satelite?
Tanzania ipo kampuni inaitwa Thuraya wapo Samora avenue opp na JM Mall inatowa huduma ya satelite phone malipo ni kwa dola, popote ulipo unatumia simu na internet hizi hazitumii minara zinatumia satelite.
Watalii wengi wakija kwenda mbugani hakuna mawasiliano wanazitegemea hizi satelite phone hazinaga mambo ya sijui network imejamba sijui signal weak, that is meaning of Satelite.
Hv wanaoungaga hivi vifurushi wanavitoa wapi?Cha gb 30 una miezi mi 3 kila mwez una ingiziwa gb 10.... cha miezi 6 gb 60 kila mwez gb 10
Noma sana..vipi mitandao mingine boss?
ila inategemeana na maeneo mkuu 10000 wanatoa gb 7 kwa dk 550 mwezTigo unapata 2GB kwa buku.
Unapata MB 550 na dakika 65 kwa jero
Unapata 1.2GB na dakika 215 wiki nzima kwa buku jero.
Unapata 2.5GB na dakika 268 kwa wiki kwa buku mbili jero
Unapata GB 10 na dakika 1,070 kwa mwezu kwa 10,000 tu
Na ukiwa na 4G spid yake ni ya bombadia.
Nikichogundua kuna watu humu wanatumia line zao za tigo kupikia chai tu hawajui jinsi ya kuunga vifurushi vizuri.