Troublemaker
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 19,882
- 38,513
Wasalaam JF..!!!
Ni weekend moja baada ya kushinda kutwa nzima nikiwa nyumbani huku muda mwingi nikiutumia kulala baada ya shuhguli ndogo ndogo za home kama mjuavyo weekend.
Imefika mida ya jioni kuanzia saa moja hivi kila nishikacho nakuwa bored.
Nikasema ngoja nisogee mahali nipate mbili tatu, ukizingatia ni weekend. Nikasogea eneo moja kupata mbili tatu huku nikufurahisha macho kuwatazama hawa viumbe waliotoka kwenye ubavu wetu.
Nikiwa naperuzi Jf kupata vimbwanga vya huku, jirani alikuwa jamaa mmoja tu kwa mwonekano huwezi mtilia shaka kivyovyote anaonekana ni mtu anayejitambua.
Nilipokuwa nimefika alikuwa meza ya jirani wala sikuhangaika nae ghafla nikiwa uliwengu wa JF nikashtuliwa upande wangu wa kushoto alipo jamaa kugeuka kanichangamkia na kunisalimia kama vile ananifahamu.
Ucheshi kwa watanzania ni jadi yetu sikushangaa sana nami nikamuitikia kwa bashasha. Kichwani nikijaribu kuvuta kumbukumbu labda namfahamu ukizingatia mimi kiwanja hiko ni mwenyeji kidogo mara moja moja huwa nafika hapo.
Basi baada ya salamu nikaendelea na mambo yangu. Baada ya mbili tatu mbili kukolea mkojo nao ukanishika nikaenda maliwato. Wakati natoka maliwato nikakutana nae njiani akanichangamkia tena. Akaniomba pembeni tuongee kidogo. Akaniomba no ya simu, mwanzo nikampa ya uongo akanibipu ikagoma ikabidi nimpe ya ukweli huku nikimdadisi kujua yy ni nani au ana shida gani.
Then akaonyesha nisitilie shaka. Nikarudi kukaa, baada ya muda nae akarudi ghafla text ikaingia. Akauliza kesho nitakuwa wapi, nikamjibu tu nitakuwa kwenye shuguli zangu. Ukizingatia itakuwa jumatatu. Akauliza sasa tunafanyaje?
Nikajibu kuhusu nini? Akasema nahitaji tuonane kuna ishu. Nikamwambia labda anidokeze ni ishu gani huenda nikarahisha ratiba yangu. Akasema ni ishu ya kikazi. Hapo kwa kiasi kikubwa hofu niliyoanza kuijenga ikapungua. Nikajisemea kwa aina ya shuguli zangu huenda ananifahamu. Nikamjibu sawa kesho jioni nitamcheki.
Kesho yake saa 10 hivi jioni yeye ndiye akawa wa kwanza kunitext salamu then ikfuatiwa na text nyingine iliyofanya nisimjibu chochote zaidi ya kumpiga block hapohapo.
KWA KIFUPI ALITAKA NIMPELEKEE MOTO.
Ni weekend moja baada ya kushinda kutwa nzima nikiwa nyumbani huku muda mwingi nikiutumia kulala baada ya shuhguli ndogo ndogo za home kama mjuavyo weekend.
Imefika mida ya jioni kuanzia saa moja hivi kila nishikacho nakuwa bored.
Nikasema ngoja nisogee mahali nipate mbili tatu, ukizingatia ni weekend. Nikasogea eneo moja kupata mbili tatu huku nikufurahisha macho kuwatazama hawa viumbe waliotoka kwenye ubavu wetu.
Nikiwa naperuzi Jf kupata vimbwanga vya huku, jirani alikuwa jamaa mmoja tu kwa mwonekano huwezi mtilia shaka kivyovyote anaonekana ni mtu anayejitambua.
Nilipokuwa nimefika alikuwa meza ya jirani wala sikuhangaika nae ghafla nikiwa uliwengu wa JF nikashtuliwa upande wangu wa kushoto alipo jamaa kugeuka kanichangamkia na kunisalimia kama vile ananifahamu.
Ucheshi kwa watanzania ni jadi yetu sikushangaa sana nami nikamuitikia kwa bashasha. Kichwani nikijaribu kuvuta kumbukumbu labda namfahamu ukizingatia mimi kiwanja hiko ni mwenyeji kidogo mara moja moja huwa nafika hapo.
Basi baada ya salamu nikaendelea na mambo yangu. Baada ya mbili tatu mbili kukolea mkojo nao ukanishika nikaenda maliwato. Wakati natoka maliwato nikakutana nae njiani akanichangamkia tena. Akaniomba pembeni tuongee kidogo. Akaniomba no ya simu, mwanzo nikampa ya uongo akanibipu ikagoma ikabidi nimpe ya ukweli huku nikimdadisi kujua yy ni nani au ana shida gani.
Then akaonyesha nisitilie shaka. Nikarudi kukaa, baada ya muda nae akarudi ghafla text ikaingia. Akauliza kesho nitakuwa wapi, nikamjibu tu nitakuwa kwenye shuguli zangu. Ukizingatia itakuwa jumatatu. Akauliza sasa tunafanyaje?
Nikajibu kuhusu nini? Akasema nahitaji tuonane kuna ishu. Nikamwambia labda anidokeze ni ishu gani huenda nikarahisha ratiba yangu. Akasema ni ishu ya kikazi. Hapo kwa kiasi kikubwa hofu niliyoanza kuijenga ikapungua. Nikajisemea kwa aina ya shuguli zangu huenda ananifahamu. Nikamjibu sawa kesho jioni nitamcheki.
Kesho yake saa 10 hivi jioni yeye ndiye akawa wa kwanza kunitext salamu then ikfuatiwa na text nyingine iliyofanya nisimjibu chochote zaidi ya kumpiga block hapohapo.
KWA KIFUPI ALITAKA NIMPELEKEE MOTO.