Turkish PM: Nothing will prevent us from protecting Jerusalem

Turkish PM: Nothing will prevent us from protecting Jerusalem

Status
Not open for further replies.
Mkuu,sijui sababu za wao kudai Jerusalem ni yao wanazitoa wapi wakati wanajua ka bisa kuwa Jerusalem ni ya Wayahudi tangu hata Dini yao haijakuwepo

Hawa watu ni wazima kweli?
Kwani wewe history unaisoma tangia mwaka gani?,au ulichukua PCB nini?.
jerusalem haikuwahi kuwa ya israel mpaka kipindi cha akina king saul na daud,sasa kabla ya hapo ilikua chini ya nani?.
 
Wala haishangazi kwani watakuja kuwapa huo mji!
Huo mji umekua exchanged kwa mda mrefu sana.soma timeline ya jerusalem uone.
by the way,kwanini ni marufuku kwa wayahudi kusari pale al aqsa?
 
Kwani wewe history unaisoma tangia mwaka gani?,au ulichukua PCB nini?.
jerusalem haikuwahi kuwa ya israel mpaka kipindi cha akina king saul na daud,sasa kabla ya hapo ilikua chini ya nani?.

Na wakati wa Yoshua je?

Waisraeli ni akina nani kwani?
 
Huo mji umekua exchanged kwa mda mrefu sana.soma timeline ya jerusalem uone.
by the way,kwanini ni marufuku kwa wayahudi kusari pale al aqsa?

Kusari ndio nini wewe?

Halafu Wayahudi hawasali al aqsa bali wanasali kwenye hekalu la Suleiman,we vipi?
 
Mkuu kwani hauna habari Adamu alikuwa ni muislamu!? mkuu hata waki Dhikr uchi, ile Jerusalem itabaki kuwa ya Wayahudi... waandike maumivu tu...
Naona mnabadili mada kuwa ya kidini hapa,but you are wellcome.
 
Labda wampige Israel sasa kabla Republicans hawajashika ile USA.
 
Ni marufuku kusari hapo,muulize dr slaa atakwambia.

Hivi nyie huwa hamsomi kile ambacho mnaandikiwa au hamna uwezo wa kuelewa kabisa?

Hebu angalia nilichoandika kisha ukaki quote halafu tazama ulichoandika wewe kwa maana ya kunijibu kisha uone kama uko sawa au una tatizo ambalo hujalijua bado!
 
Hii ndo list ya top ten kwa nguvu za kijeshi duniani.
acheni ushabiki mbuzi.
The GFP Top 10:
1. United States
2. Russia
3. China
4. India
5. United Kingdom
6. France
7. Germany
8. Turkey
9. South Korea
10. Japan

Mkuu TPDF umewwka mfukoni?
 
Na wakati wa Yoshua je?

Waisraeli ni akina nani kwani?

Unajua great thinker unatakia hoja uziweke na ushahidi sio unabisha tu.

Nimesema uturuki inaizidi israel kwa kila kitu,kijeshi na kiuchumi,unabisha weka ushahidi.

Nimesema jerusalem kiasili si ya wayahudi,unaniletea mambo ya joshua wa juzi hapa.

Nebu kunywa hii kwanza,wakati nikiandaa matibabu yako mengine.

Abdi-Hebat) was a local chieftain of Jerusalemduring the Amarnaperiod (mid-1330s BC). Abdi-Heba's name can be translated as "servant of Hebat", a Hurrian goddess.

Whether Abdi-Heba was himself of Hurrian descent is unknown, as is the relationship between the general populace of pre- IsraeliteJerusalem (called, several centuries later, Jebusitesin the Bible) and the Hurrians. Egyptian documents have him deny he was a5ò7az¨¡nuand assert he is a soldier (we'w), the implication being he was the son of a local chief sent to Egypt to receive military training there. [ 1 ]

EA 161, letter by Aziru, leader of Amurru, (stating his case to pharaoh), (note paragraph divisions).

Also unknown is whether he was part of a dynasty that governed Jerusalem or whether he was put on the throne by the Egyptians. Abdi-Heba himself notes that he holds his position not through his parental lineage but by the grace of Pharaoh, but this might be flattery rather than an accurate representation of the situation.

At this time the area he administered from his garrison may have had a population of fifteen hundred people and Jerusalem would have been a 'small highlands stronghold' in the fourteenth century BC with no fortifications or large buildings.
 
Sasa mniambie how come chief wa jerusalem enzi za jebusite na kabla hata abrahamu hajazaliwa aitwe ABDI?
 
Mbona data ziko online au hujishughulishi?.
uturuki ni member wa NATO na actually ndo nchi ya pili ama ya tatu kwa jeshi kubwa katika NATO,na sijui kama unajua kuwa anaposhambuliwa member wa NATO ni sawa na wameshambuliwa member wote.
kutokuwa kwa uturuki katika umoja wa ulaya haimaanishi kuwa uturuki ni nchi dhaifu,kumbuka imewahi kuwa empire.uchumi wa uturuki ni mkubwa kuliko uchumi wa israel kama unabisha tafuta data.
israel ubavu wa kuipiga uturuki hana.
likewise akishambulia au kuingia vita vya kujitakia member wa NATO sio kwamba member wote wanaingia vitani especially hivi vya kujitakia
 
Positions on Jerusalemheld within the international community.

[ 1 ]Scholars are divided over the legal status of Jerusalemunder international law.

[ 2 ]No country in the world except for Israel has recognized Jerusalem as Israel's capital. Many do not recognize it as a city that is properly Israel's. Many UN member states formally adhere to the United Nations proposal that Jerusalem should have an international status.

[ 3 ]
The chief dispute revolves around Israel's occupation of East Jerusalem, while broader agreement exists regarding the Israeli presence in West Jerusalem.

[ 2 ] De jure, the majority of UN member states and most international organisations do not recognise Israel's ownership of East Jerusalem which occurred after the 1967 Six-Day War, nor its 1980 Jerusalem Lawproclamation, which declared a "complete and united" Jerusalem as the capital of Israel.

[ 4 ]As a result, foreign embassies are generally located in Tel Avivand its suburbs
 
likewise akishambulia au kuingia vita vya kujitakia member wa NATO sio kwamba member wote wanaingia vitani especially hivi vya kujitakia
Article namba ngapi?.
 
Ntuzu njoo huku, jamaa anadai eti hadi moderator aje kuokoa...
Kamata hii kwanza.
United Nations Security Council Resolution478, adopted on 20 August 1980, is one of seven UNSC resolutions condemning Israel's attempted annexation of East Jerusalem. In particular, UNSC res 478 notes Israel's non-compliance with UNSC res 476 [ 1 ]and condemned Israel's 1980 Jerusalem Lawwhich declared Jerusalemto be Israel's "complete and united" capital, as a violation of international law. The resolution states that the Council will not recognize this law, and calls on member states to accept the decision of the council. This resolution also calls upon member states to withdraw their diplomatic missions from the city.
The resolution was passed with 14 votes to none against, with the United States abstaining
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom