Tupunguze kuwaza ngono

Tupunguze kuwaza ngono

Mtu yoyote mwenye afya njema kiakili na kimwili lazima awe na ashki!


Tunachotofautiana ni jinsi ya ku-act upon hizo ashki..
 
Hatuwezi kuwaza magari wakati hatuna hata kiwanda kimoja cha kutengeneza magari Au hatuwezi kuwaza michezo ya kuteleza kwenye barafu wakati hatuna maeneo yenye barafu ya kufanyia mchezo huo.
Lakini tunawaza ngono kwavile wanaume ndio sisi na wanawake ndio nyie, then kuombana kupo japo kuna kukubaliwa na kukataliwa.

Kadri siku zinavyokwenda na wanawake wanavyozidi kuvaa nguo zenye kuonesha mwili/uchi haiwezekani kupunguza kuwaza ngono labda ndio itazidi
 
Vijana wamekuwa watumwa wa punyeto yote sababu ya kuendekeza ngono kichwani kwa asilimia kubwa mbona kwa wenzetu wazungu unakuta ndani ya family mabinti wamevaa vipensi au vigauni vifupi sababu ya joto ingekuwa watanzania tunavaa hivo ingekuwaje?
Nakubaliana na wewe kuwa kuwaza ngono kila wakati siyo jambo zuri na kufanya hivyo ni dhambi, tena ni makosa makubwa sana.

Lakini sikubaliani na hiyo hoja yako ya kusema eti Wazungu wanauwezo wa kujizuia, nakataa kabisa(They are not that innocent). Mimi nimekaa na hao watu karibu kwa muda mrefu na ninazijua tabia zao. Hakuna watu wanaoongoza kwa kufanya ngono hovyo kama Wazungu. Hao Wazungu unaowasema wanafanya ngono wakati wowote ule na mahali popote pale, iwe kwenye vyoo, maofisini, kwenye magari, kwa kifupi Wazungu ni wachafu sana.

Binti wa Kizungu anaweza kufanya ngono na boyfriend wake chumbani, hata kama baba na mama yake wapo wamekaa sebuleni. Kwa Wabongo sio rahisi kitu kama hicho kufanyika, hasa kama wazazi wakiwepo. Tena mabinti wengi wa Kizungu akitokea kumpenda mvulana, kitu aibu huwa hakuna, atamfuata na kujirahisisha na kama ameamua kufanya naye ngono, atafanya naye tu. Kwenye ku-cheat ndiyo kabisa! Wanawake wa Kizungu walioolewa wanacheat mbaya. Kwenye kupiga punyeto ndiyo usiseme. Wazungu wanapiga punyeto mbaya, iwe wasichana au wavulana. Tofauti ya wao na sisi wabongo ni kuwa, wao (Wazungu) mara zote wanapofanya ngono hutumia kinga na wote wanajua elimu ya ngono (sex education) kwani hufundishwa mashuleni wakiwa bado wadogo.

Msiwasifie "Wazungu" bila kuwajua tabia zao. Ile kukaa na chupi na kuvaa vinguo vifupi ni utamaduni wao tu. Lakini kwenye ngono; wanaongoza.
 
Hii hali imeshamiri sana si kwa vijana bali hata wazee mda wote bongo zetu zinatawaliwa na mawazo ya ngono tu ni ngono tu yani mtu akiamka ni hata awaze idea mpya ikamjia kichwani wala!

Ingia kwenye simu mpaka wazee wamejaza video za porn hali hii inapelekea kufanya yasiyotarajiwa baba mtu mzima na familia yako unakiingilia kwa nguvu kihausigeli cha miaka 13 imagine aibu yake utayopata.

Mwanaume ukimpita na khanga moja tu hali inabadilika mwenzi wako kasafiri siku tatu tu unadai huwezi kujizuia unaparamia ndugu yake au mshkaji wake.

Vijana wamekuwa watumwa wa punyeto yote sababu ya kuendekeza ngono kichwani kwa asilimia kubwa mbona kwa wenzetu wazungu unakuta ndani ya family mabinti wamevaa vipensi au vigauni vifupi sababu ya joto ingekuwa watanzania tunavaa hivo ingekuwaje?

Ingekuwa ukienda coco beach kila binti wa kitz katupia bikini na bra tupu ingekuwaje? Yani wanaume wangepata tabu sana wakienda beach minara yao inasimama kitu full network 4G.

Hali hii imepelekea pia baadhi ya watu kutoelewa nini maana ya mapenzi mapenzi ni zaidi ya ngono ni urafiki, support and being there for each other katika shida upo na mwenzi bega kwa bega katika furaha pia.

Above all mnakuwa kampani kwa kila mmoja lakini wengine wanawaza ngono tu sawa sio vibaya lakini uwe na kiasi katika kila jambo ina madhara ikiwa utaruhusu fikra zako kwa asilimia kubwa kutawaliwa na mawazo ya ngono.




Aggy
Umejiwakilisha vizuri jinsi ulivyo na unayoyafanya
 
Vijana wamekuwa watumwa wa punyeto yote sababu ya kuendekeza ngono kichwani kwa asilimia kubwa mbona kwa wenzetu wazungu unakuta ndani ya family mabinti wamevaa vipensi au vigauni vifupi sababu ya joto

Aggy
We kweli huwajui wazungu, ule ni ustaarabu wao, na ndio utamaduni wao umeruhusu, pia wako free mtu muda wowote anaweza kumuomba dem shoo na asinyimwe, wanaweza kudendeka hadharani, mavazi ya beach ni utamaduni wao, hivyo mwanaume kuona mapaja au maeneo nyeti ya mwanamke anaona ni kawaida tu, then wao hata ukimkuta binti hapendi hela kama huku kwetu.

Sasa sisi mtu kuona paja tu mpaka mjifungie gheto au gesti, mkidendeka hadharani mara paap mna kesi ya kujibu, akipita dem mswambwanda wote kauachia unacheza
Wengine mpaka wanajibenua waonekane wamefungasha {full secretarial sekela course}
Dem ukitaka hata kudendeka nae anakutangazia shida
Mnasababisha tusio na hizo hela tunabaki na UGUMU thus Y tunabaki kutumbulia macho na kumeza mate na ndio maana hata tukiona kwa macho tu 4G inasoma na kwa vile hatuna uwezo wa kuvipata, ndio maana tunabaki kuangalia porn na kushushia kwa punyeto.

Tuoneeni huruma
 
We kweli huwajui wazungu, ule ni ustaarabu wao, na ndio utamaduni wao umeruhusu, pia wako free mtu muda wowote anaweza kumuomba dem shoo na asinyimwe, wanaweza kudendeka hadharani, mavazi ya beach ni utamaduni wao, hivyo mwanaume kuona mapaja au maeneo nyeti ya mwanamke anaona ni kawaida tu, then wao hata ukimkuta binti hapendi hela kama huku kwetu.

Sasa sisi mtu kuona paja tu mpaka mjifungie gheto au gesti, mkidendeka hadharani mara paap mna kesi ya kujibu, akipita dem mswambwanda wote kauachia unacheza
Wengine mpaka wanajibenua waonekane wamefungasha {full secretarial sekela course}
Dem ukitaka hata kudendeka nae anakutangazia shida
Mnasababisha tusio na hizo hela tunabaki na UGUMU thus Y tunabaki kutumbulia macho na kumeza mate na ndio maana hata tukiona kwa macho tu 4G inasoma na kwa vile hatuna uwezo wa kuvipata, ndio maana tunabaki kuangalia porn na kushushia kwa punyeto.

Tuoneeni huruma
umemaliza yote ali...uwiii
ni kwrpi tupu na umenifungua
 
Hii hali imeshamiri sana si kwa vijana bali hata wazee mda wote bongo zetu zinatawaliwa na mawazo ya ngono tu ni ngono tu yani mtu akiamka ni hata awaze idea mpya ikamjia kichwani wala!

Ingia kwenye simu mpaka wazee wamejaza video za porn hali hii inapelekea kufanya yasiyotarajiwa baba mtu mzima na familia yako unakiingilia kwa nguvu kihausigeli cha miaka 13 imagine aibu yake utayopata.

Mwanaume ukimpita na khanga moja tu hali inabadilika mwenzi wako kasafiri siku tatu tu unadai huwezi kujizuia unaparamia ndugu yake au mshkaji wake.

Vijana wamekuwa watumwa wa punyeto yote sababu ya kuendekeza ngono kichwani kwa asilimia kubwa mbona kwa wenzetu wazungu unakuta ndani ya family mabinti wamevaa vipensi au vigauni vifupi sababu ya joto ingekuwa watanzania tunavaa hivo ingekuwaje?

Ingekuwa ukienda coco beach kila binti wa kitz katupia bikini na bra tupu ingekuwaje? Yani wanaume wangepata tabu sana wakienda beach minara yao inasimama kitu full network 4G.

Hali hii imepelekea pia baadhi ya watu kutoelewa nini maana ya mapenzi mapenzi ni zaidi ya ngono ni urafiki, support and being there for each other katika shida upo na mwenzi bega kwa bega katika furaha pia.

Above all mnakuwa kampani kwa kila mmoja lakini wengine wanawaza ngono tu sawa sio vibaya lakini uwe na kiasi katika kila jambo ina madhara ikiwa utaruhusu fikra zako kwa asilimia kubwa kutawaliwa na mawazo ya ngono.




Aggy
You sound so wise..! Am I correct??
 
Back
Top Bottom