Harald Dad
JF-Expert Member
- Dec 4, 2016
- 353
- 263
Da aggy mm nimekupenda sana hasa ulivyo na mtazamo chanya tunaweza kuunganisha mbongo zetu naona unaweza kuwa mke bora kwangu
yaap...ndo hivotupunguze ila tusiache![]()
asante mdogo angu...Da aggy mm nimekupenda sana hasa ulivyo na mtazamo chanya tunaweza kuunganisha mbongo zetu naona unaweza kuwa mke bora kwangu
maybeYou sound so wise..! Am I correct??
Duuuuuh!!! Mdogo wako tena!!!!!! How sure are you aggy??????asante mdogo angu...
welcomeThanks aggyjay
si pake juu umeniita da aggy..Duuuuuh!!! Mdogo wako tena!!!!!! How sure are you aggy??????
Ha ha haaaaa aggy weweeesi pake juu umeniita da aggy..
au nimeona vibaya?
ila wanasema ni kweli ..ukiwa alone mda mrefu unapatwa jini mahaba..mwehKwakweli,,,kibongobongo ukiwa ujishughulishi na mahusiano utaambiwa una jini mahaba,,,ASA mi Niko zangu na mambo kibao niwaze kuparamiana kila saa mmmh hapana kwakweli na kama ndo jini mahaba aje tu hata na baba ake mzazi walete posa,
Mhh mbona na we we unagongea misumari lkn ah potelea mbali wanaume wanatia stress tu alafu hao wanataka kuongwa bora Hugo ambae hanigharimuila wanasema ni kweli ..ukiwa alone mda mrefu unapatwa jini mahaba..mweh
wa kuhongwa?unadate mario?Mhh mbona na we we unagongea misumari lkn ah potelea mbali wanaume wanatia stress tu alafu hao wanataka kuongwa bora Hugo ambae hanigharimu
niniHa ha haaaaa aggy weweee
Aggy ,hujambo mama !!.nini
sijambo..vipi weweAggy ,hujambo mama !!.
Safi tu ,unaendeleaje ?.sijambo..vipi wewe
kawaidaSafi tu ,unaendeleaje ?.
Aya nilikua napita nikue salam.kawaida