Kocha Mkuu
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 1,862
- 3,321
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
na kuungama hatari,sijui mara ya mwisho nimeungama lini kwa kweli
Zile mambo ni imani tu kwa kweli, maana unakuta padri mwenyewe mishe zake unazielewa, unajikuta hata huko kuungama unaona ni famba.
Mi nakumbuka nilishawahi kujua padri anatoka na mtu niliyekuwa nampenda dah, ilinishushia imani yangu sana...


kule mi domo zege