Desire Dizaya
JF-Expert Member
- Feb 16, 2015
- 6,476
- 11,671
- Thread starter
- #161
thank u for commentingWewe mwenyewe unawaza ngono sana ndo maana umeandika haya.Hapakuwa na mengine yenye kusaidia jamii zaidi ya hili?
thank u for commentingWewe mwenyewe unawaza ngono sana ndo maana umeandika haya.Hapakuwa na mengine yenye kusaidia jamii zaidi ya hili?
Habari yako Dada, nakusalimu jamaniMhh mbona na we we unagongea misumari lkn ah potelea mbali wanaume wanatia stress tu alafu hao wanataka kuongwa bora Hugo ambae hanigharimu
Habari yangu nzuri sijui weweHabari yako Dada, nakusalimu jamani
Unataka kuniambia kule marekani na ulayando starehe kubwa ya masikini...
weee...kumbeendo starehe kubwa ya masikini...
Si unamuona huyu,anafanya yote mawili kwa wakati,
Mkuu labda uniombeepole popoma..jizuie
We mwenyewe umewaza ngono ndio mana ukapost uzi kuhusu ngono, inawezekana unajaribu kuepuka kuiwaza lkn ngono haiepukiki mkuu mana ndo stareh tamu kuliko zote dunianiHii hali imeshamiri sana si kwa vijana bali hata wazee mda wote bongo zetu zinatawaliwa na mawazo ya ngono tu ni ngono tu yani mtu akiamka ni hata awaze idea mpya ikamjia kichwani wala!
Ingia kwenye simu mpaka wazee wamejaza video za porn hali hii inapelekea kufanya yasiyotarajiwa baba mtu mzima na familia yako unakiingilia kwa nguvu kihausigeli cha miaka 13 imagine aibu yake utayopata.
Mwanaume ukimpita na khanga moja tu hali inabadilika mwenzi wako kasafiri siku tatu tu unadai huwezi kujizuia unaparamia ndugu yake au mshkaji wake.
Vijana wamekuwa watumwa wa punyeto yote sababu ya kuendekeza ngono kichwani kwa asilimia kubwa mbona kwa wenzetu wazungu unakuta ndani ya family mabinti wamevaa vipensi au vigauni vifupi sababu ya joto ingekuwa watanzania tunavaa hivo ingekuwaje?
Ingekuwa ukienda coco beach kila binti wa kitz katupia bikini na bra tupu ingekuwaje? Yani wanaume wangepata tabu sana wakienda beach minara yao inasimama kitu full network 4G.
Hali hii imepelekea pia baadhi ya watu kutoelewa nini maana ya mapenzi mapenzi ni zaidi ya ngono ni urafiki, support and being there for each other katika shida upo na mwenzi bega kwa bega katika furaha pia.
Above all mnakuwa kampani kwa kila mmoja lakini wengine wanawaza ngono tu sawa sio vibaya lakini uwe na kiasi katika kila jambo ina madhara ikiwa utaruhusu fikra zako kwa asilimia kubwa kutawaliwa na mawazo ya ngono.
Aggy![]()



sasa hizo pesa zita patikana vipi au jitiada .Hii hali imeshamiri sana si kwa vijana bali hata wazee mda wote bongo zetu zinatawaliwa na mawazo ya ngono tu ni ngono tu yani mtu akiamka ni hata awaze idea mpya ikamjia kichwani wala!
Ingia kwenye simu mpaka wazee wamejaza video za porn hali hii inapelekea kufanya yasiyotarajiwa baba mtu mzima na familia yako unakiingilia kwa nguvu kihausigeli cha miaka 13 imagine aibu yake utayopata.
Mwanaume ukimpita na khanga moja tu hali inabadilika mwenzi wako kasafiri siku tatu tu unadai huwezi kujizuia unaparamia ndugu yake au mshkaji wake.
Vijana wamekuwa watumwa wa punyeto yote sababu ya kuendekeza ngono kichwani kwa asilimia kubwa mbona kwa wenzetu wazungu unakuta ndani ya family mabinti wamevaa vipensi au vigauni vifupi sababu ya joto ingekuwa watanzania tunavaa hivo ingekuwaje?
Ingekuwa ukienda coco beach kila binti wa kitz katupia bikini na bra tupu ingekuwaje? Yani wanaume wangepata tabu sana wakienda beach minara yao inasimama kitu full network 4G.
Hali hii imepelekea pia baadhi ya watu kutoelewa nini maana ya mapenzi mapenzi ni zaidi ya ngono ni urafiki, support and being there for each other katika shida upo na mwenzi bega kwa bega katika furaha pia.
Above all mnakuwa kampani kwa kila mmoja lakini wengine wanawaza ngono tu sawa sio vibaya lakini uwe na kiasi katika kila jambo ina madhara ikiwa utaruhusu fikra zako kwa asilimia kubwa kutawaliwa na mawazo ya ngono.
Aggy![]()
mimi Avanta yako huwa inanipa amani na furaha moyoniyaap..unapokea tu signal
hahahhahaahahh jaman jamanMi nshazoea katika kila lisaa limoja nina dakika 5 za kuwaza ngono.
thank u dadake..mimi Avanta yako huwa inanipa amani na furaha moyoni
i like the way you are happy

Nakupenda tu loohthank u dadake..![]()