asante kwa kuliona hili...ni kweli kabisaVery well said.
Hii kitu ni kweli kabisa, ndio maana hata maendeleo hakuna.
Aaaqku. Hayo uliyoyasema yanatoshaVipi, tia neno kidogo.
Aggyjay ,, Uzi wako kwangu ndo Uzi wasiku mama .
Umeongea jambo lamsingi sanaaaa......I never know km you are good talkative namna hiiiii...kumbe uliiiiii
Smart 99 huwa anasema * tatizo watu niwabishi sanaa*
thank u putinAaaqku. Hayo uliyoyasema yanatosha
Sure jaman ,,, Huwa napenda sana kusikia vitu chanya chanya namna hiii hasa akiviongea mwanamke ...sijui kwann hukua unaviongea kule ???????![]()
![]()
thank u putin

Sina la kuongeza ndioHa ha ha, so huna la kuongeza as unakubaliana?
Sina la kuongeza ndio
Hana simuAu mamayako sio???
Duly noted
HEEE! sasa je ,alafu ingekua tukiwaza ngono mambo mengine yanasimama apo sawa tungepeana somo ,lakini kama ni hivi hivi nawaza papuche na mambo yanaenda aaah basi haina budi kuwashauri mods kufuta uzi wakoni kweli?
hii hsiwezi kuwa sababu..Fursa hakuna na ajira hakuna!unategemea kizaz gan apo?
Unajua RC huwa tuna ule utaratibu wa kuungama, sasa inapofikia kuiungama ile dhambi mpaka unaona aibu maana unakuwa unajua utairudia tu.
Shida sana.
na kuungama hatari,sijui mara ya mwisho nimeungama lini kwa kwelinimetaja jinsia zote pale..Mbona unalalamika juu ya wanaume tu je wanayofanya wanawake haujayaona hebu hemu gusa na yao maana hakuna aliebora unakuta mwanamke /binti ana mikono na miguu hana kilema chochotevna ana nguvu za kufanya kazi kwa nn akajiuze huo nao ni utumwa wa ngono