Tupunguze kuwaza ngono

Tupunguze kuwaza ngono

At first place I'd thought you could be a psychological expertise but as I continued reading your article I lost all your competence in the thread. Unasahau kwamba mazingira yakuzungukayo ndiyo brain yako inafanya kazi kutatua changamoto unazokutana na hayo mazingira. Hivi unadhani injinia ambaye anawaza amalize vipi mradi wake kwa muda mdogo uliobaki atawaza hiko ulichokisema.? Mwanafunzi ambaye anakabiliwa na mitihani itakayompitisha kwenda level nyingine academically atawaza hiko unachokisema.?
Mazingira yanaplay part kubwa sana katika kufanya maamuzi.
Wewe unawaongelea watu ambao wako Idled, dependants and small minded people. Your thread can't touch wide minded people.. Watu wenye majukumu ambayo if they once mess with them up, they will be facing a big cost to recover up.
okay..nilisahau kuhuau mzingira yanayonxunguka mtu na uhusiano wa hiu hali..ni kweli uliyoongea.
watu tegemezi..wasio na lolote na idle minded ndo wahanga wakubwa.ni kweli pia.
 
Hivi ni mapenzi kiasi gani alikua nayo Mugabe kwa mkewe mpaka akataka kumhonga nchi?

Najua wanaume tunahonga ila sio kwa level ya Mugabe, Mugabe is beyond standards.

Vitu vya kuhonga viko kibao, Magari, Majumba, ndege, meli na matakataka kibao lakini mwenzetu akaona akihonga nchi ndio itapendeza.

Naagiza Mugabe aandikwe kua mwanaume aliyevuka rekodi ya kuhonga duniani.
 
Hivi ni mapenzi kiasi gani alikua nayo Mugabe kwa mkewe mpaka akataka kumhonga nchi?

Najua wanaume tunahonga ila sio kwa level ya Mugabe, Mugabe is beyond standards.

Vitu vya kuhonga viko kibao, Magari, Majumba, ndege, meli na matakataka kibao lakini mwenzetu akaona akihonga nchi ndio itapendeza.

Naagiza Mugabe aandikwe kua mwanaume aliyevuka rekodi ya kuhonga duniani.
is this the power of papuchi or juju
 
Very well said.
Hii kitu ni kweli kabisa, ndio maana hata maendeleo hakuna.
 
okay..nilisahau kuhuau mzingira yanayonxunguka mtu na uhusiano wa hiu hali..ni kweli uliyoongea.
watu tegemezi..wasio na lolote na idle minded ndo wahanga wakubwa.ni kweli pia.
Nashukuru kwa kukubaliana na hilo. Unachosema ni sawa kwasababu vijana wa kitanzania hawajaandaliwa kiakili kukabiliana na mazingira yawazungukayo, kuiga ni kwingi sana kwasababu na teknolojia ambayo tumetupiwa kwa wakati ambao sisi hatukuwa tayari kukabiliana nayo advantegically.. Wazee nao pia wamejisahau baada ya kuona walishapata yale wanayozani ni muhimu maishani mwao, ndiomaana wanawaza na kutekwa na yanayoendelea mitandaoni...wengine elimu zao wamezieka pembeni, wale ambao nao hawakupata nafasi za kutanua bongo zao wanadhani maisha ni rahisi kwasababbu ya teknolojia na wanachomiliki sasa kumbe sivyo...
Tunaishi katika ulimwengu ambao waafrika wengi tumechelewa compared to hao wa ulaya na amerika
 
Hivi ni mapenzi kiasi gani alikua nayo Mugabe kwa mkewe mpaka akataka kumhonga nchi?

Najua wanaume tunahonga ila sio kwa level ya Mugabe, Mugabe is beyond standards.

Vitu vya kuhonga viko kibao, Magari, Majumba, ndege, meli na matakataka kibao lakini mwenzetu akaona akihonga nchi ndio itapendeza.

Naagiza Mugabe aandikwe kua mwanaume aliyevuka rekodi ya kuhonga duniani.
Hii ni kweli tupu na imesababisha downfall yake!!
 
Back
Top Bottom