Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,586
- 66,282
- Thread starter
- #61
Hamna ila birian masala kuna kipilipili iko ndicho nakifwataga kwenye birian masalaNitarudi nitarudi nitarudi.
Utofauti wa pilau masala na biryani masala ni nini?
Hamna ila birian masala kuna kipilipili iko ndicho nakifwataga kwenye birian masalaNitarudi nitarudi nitarudi.
Utofauti wa pilau masala na biryani masala ni nini?
Vzr sana😋😋kinaonekana kitamuu
Hoho na carrots kwangu mimi ni hapana kabisa kwenye pilau.
Si ndiyo sasa.....nitamshawishi ajiunge JF halafu akufolow ila usimtongoze mkuu maan ana majini 😂😂😂Ata sema una mkosoa
Yaani naweza kukupikia chochote upendacho myItakuwa vizuri aongeze ufundi kuniteka zaidi.
Penzi Bado bichi acha a enjoy enjoy 😁Ahahah mwambie amwachie
Asante baby najihisi kunenepa.Yaani naweza kukupikia chochote upendacho my
🤩🤩🤩 Sawa love nitainjoy sana huu mwaka, mimi nitajitahidi kukupikia chai.Kati ya vitu navipenda,naviweza kupika ni hivi,namaanisha kupika si kuchemsha🤩
Utupie picha selfika nimehamasika kuona aiseeeUkifurahi na mie nafurahi 😅😅
Ila usinenepe ukawa na kitambi,me napenda six pack myAsante baby najihisi kunenepa.
🤩🤩🤩🤩Hivi chai inachemshwa au inapikwa my🤩🤩🤩 Sawa love nitainjoy sana huu mwaka, mimi nitajitahidi kukupikia chai.
😂😂😂 sawa kiongozi.We tulia kwanza utanikosesha pisi za JF 😂😂😂
Sawa basi kama ni hivyo wewe ndiyo itatakiwa unipangie ratiba ya chakula.Ila usinenepe ukawa na kitambi,me napenda six pack my
Ouk my utafurahi ukiwa na mmSawa basi kama ni hivyo wewe ndiyo itatakiwa unipangie ratiba ya chakula.
🤣 najua basi! Sijui ndio kupika au kuchemsha ila nitafanya hivyo.🤩🤩🤩🤩Hivi chai inachemshwa au inapikwa my
Sawa Love ❤️Ouk my utafurahi ukiwa na mm
Usijali,upo tayari nikufundishe kupika vingine🤣 najua basi! Sijui ndio kupika au kuchemsha ila nitafanya hivyo.
Majini tena 😂😂😂🙌Si ndiyo sasa.....nitamshawishi ajiunge JF halafu akufolow ila usimtongoze mkuu maan ana majini 😂😂😂