Tupike pilau la nazi

Tupike pilau la nazi

Fresh kiongozi hatukuoni mpaka tumekuja kukutafuta kwenye Uzi wa pilau Nazi 😂😂😂
😂😂😂 ukiachana na simulizi sina cha maana cha kuchangia jf zaidi ya utumbo hivyo kuna muda huwa natulia kidogo kuupa muda ubongo upate pumba mpya.
 
😂😂😂 ukiachana na simulizi sina cha maana cha kuchangia jf zaidi ya utumbo hivyo kuna muda huwa natulia kidogo kuupa muda ubongo upate pumba mpya.
Nakuelewa kaka me mwenyew sikuhizi natafuta simulizi za watu wa JF nisome maisha yao walivyoteswa na Dunia na kugaagaa na upwa nipate funzo 😂😂😂
 
Nakuelewa kaka me mwenyew sikuhizi natafuta simulizi za watu wa JF nisome maisha yao walivyoteswa na Dunia na kugaagaa na upwa nipate funzo 😂😂😂
😂😂😂 mimi niko bize kusoma mapishi ya bites/snacks kuna mchongo nauskilizia ukitiki nahamishia majeshi huko.
 
Ila JF ukiichimba vizuri Kuna madini mengi sana yamefukiwa kwenye hii forum
Saana, uzuri wa hapa unakutana na mtu ambae amewahi kupata changamoto kwenye jambo unalotaka kulijua halafu wadau wanatiririka utatuzi, hii yenyewe tu inaweza kukufanya utamani kulipia elimu unayoipata hapa.
 
Hili pilau ni ndaza,
Umeweka hoho, karot na nazi.
Hivyo vyote havikutakiwa humo.
Hoho,karot nyama mchuzi kiasi na nazi vingekuja pembeni kabisa km sauce ya kusindikiza pilau tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom