min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 46,915
- 129,047
MnoTumbo muhimu kulijali sana
MnoTumbo muhimu kulijali sana
Hili la leo tamu sanaaaaItakuwa mpishi alikuwa changamoto ila naamini litakuwa na ladha nzuri kama likikutana na fundi
Mwambie sasaItakuwa vizuri aongeze ufundi kuniteka zaidi.
Au sioMangez bien, mambo ndio hayo!
Ila wewe mdada unanichekeshaga sana😅😅😅
Kwenye hii sekta nakuaminia chef 👏👏🙌Hili la leo tamu sanaaaa
Karanga jau 😂😂 nazi pekeeHiyo nyama 😋....
Kumbe pilau linawekwa nazi???
Wasukuma tumeibeba hii next time napika pilau naweka karanga (peanut butter)
Respect sana Chef.Au sio
Karibu sanaaaKwenye hii sekta nakuaminia chef 👏👏🙌
Heshima yako bossRespect sana Chef.
Mi napenda vyakula vya karanga, karanga ndo kiungo kanda ya ziwa kama ilivyo nazi kanda ya pwani.Karanga jau 😂😂 nazi pekee
😂😂😂 siku ya kwanza ulionaje radhaMi napenda vyakula vya karanga, karanga ndo kiungo kanda ya ziwa kama ilivyo nazi kanda ya pwani.
Mi nazi nmekuja kula uzeeni 😁
chukua recipe ukamfundishe Aisha m'binuko 😅😅Kwenye hii sekta nakuaminia chef 👏👏🙌
Nakuja nije nijilie pilau mpaka nicheue hilo tui lililowekwa humo!Njia si unsijua?
Ukoko vip utumiii 😂😂Nakuja nije nijilie pilau mpaka nicheue hilo tui lililowekwa humo!
Nakuja na dosho12 ila usimuekee nyama ana allergy nazoKaribu sanaaa
😂😂 af mary simsikii now yupo wapiNakuja na dosho12 ila usimuekee nyama ana allergy nazo
Kijana Masikini hata tukija naye usimpe pilau atakula kwa kina marry 😂😂😂
Chochote kinacholika natumiaUkoko vip utumiii 😂😂
Hii pilau imenivutia sanaMwakata! Ughonile! Twambombo
Leo nilikuwa na hamu ya pilau so nikasema nitafute nazi ili nipike pilau la nazi
Kuanza nikaanza kukaanga nyama na mafuta kidogo tu uku nikiwa nime changanya na kitunguu swahumu
View attachment 3399622
Baada ya hapo nika chukua pilau masala na birian masala nika zichanganya pamoja ili viuongo viive vzr
View attachment 3399623
Baada ya hapo nika chukua hoho na karoti nika weka kisha nika weka nyanya
View attachment 3399625
Baada ya muda nika weka mchele uchanganyike vzr
View attachment 3399628
Hapa nikawa naji semesha sufuria dogo ila nikawa nakaza fuvu uku naendelea kuchanganya mchele na viungo
Baada ya hapo nikachukua tui ambalo lina uvugu vugu halija chemka lina uvugu vugu na ni tui la pili nika weka
Baada ya kuweka tui ndio nikaona ni vyema kuchange sufuria nikafanya. Ivyo na kuacha maji yakakamie kidogo kisha nika chukua tui lile la kwanza na kuli tia ilia mambo yawe bam bam
View attachment 3399634
Baada ya muda chakula kimeiva kipo vizuri kama nilitamani kitoke
View attachment 3399637
Nipo tayari kutukanwa na wan jf kama kawaida
min -me kitalembwa mbwangali Evelyn Salt @Hamfull