Kumekucha, hayo mapishi live mbona hatuyaoni?
Mbona nimeonyesha mwanzo mpaka mwishoKumekucha, hayo mapishi live mbona hatuyaoni?
sawa, nimeona
Subiri saa tano tuendelee ba biriansawa, nimeona
🥴🥴🥴 Watimamu wamekua watapeli sasa🤣🤣Wala hawajawinda et walikosa wanyama walikimbia 😵💫
Wenye shabaha wameenda kozi🥴🥴🥴 Watimamu wamekua watapeli sasa🤣🤣
PT?Wenye shabaha wameenda kozi
ndio
Aisee wewe ni noma
TunasubiriWajuba huwa sitanii, ngojeeni nifikirie ubunifu wa mapishi fulani mtanipa tips. Mjue mapishi ni sanaa.
Mpishi mbona una vidole vinne vya mguuni?
Unaweka barkin mapema so inafanya kunyonya mafutHongera mm bagianza dengu Huwa zinanishinda kwenye mafuta zinanyonya mafuta sijui nafeli wapi Mwachiluwi
Karibu tuleeeA
Aisee wewe ni noma
Asante sana karibuMpishi mbona una vidole vinne vya mguuni?
Kimoja kimekatika?
Pole sana.
Tawfiq. ShukraniAsante sana karibu