Tupike pasaka pamoja live

Tupike pasaka pamoja live

Hello

Kesho nafikiri tupike pamoja JF hapa hatua kwa hatu ratiba yetu itakuwa hivi

Morng
Saa moja na nusu tutaanda chai ambapo kutakuwa na bagia za dengu na maziwa
Mahitaji ya bagia

1) unga wa dengu
2) chapa maandazi / barking powder
3) dania
4) karoti
5) chumvi

Baada ya hapo mchana tutaanda bilian ambapo mahitaji yake yatakuwa kama yafwatavyo

1: Mchele wa basmat mimi nitatumia 1kg
2: bilian masala
3: Pilau mix
4: dania
5: Tomato paste
6: mtindi
7: hoho na karoti
9: nyama inategemeana na nyama ulio nayo
10: food color inategemeana na rangi unayo taka mimi nitatumia nyekundu na orange
11: limao
12: kitunguu maji cha kutosha
13: viazi au mayai inategemeana na mapendeleo yako unaweza usiweke
ungefanya kesho kutwa ingependeza zaidi gentleman,

kesho usbuhi na mapema sana si kuna kiporo cha wali, maharage na miguu ya kuku tutamuachia nani tena kama tutapika bagia?🐒
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom