mohammad_othar
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 247
- 42
electronics hasa kwenye logic gate ***** zake hiyo topic
Hahaha !! Nakusoma
electronics hasa kwenye logic gate ***** zake hiyo topic
kijana kuna maswali ya projectile ni matata,mfano mzuri ni la necta2007,kalitafute ulione,tafuta na kitabu kinaitwa university physics..
Sikuipenda heat/cooling effect unapuliza huku unakoroga mpaka unaona kihindi hindi!!!!!!!
Meterbridge inasumbua kumbe limeliwa na kutu halafu techniciana anakuambia simpo tu chukua nyingine wakati time imekwenda!!!!!!!!!!
Wapi Nzoih na Docebit vos Omnia
Kaka naona ulikuwa Pugu,mambo ya mzee Nzoih,anakuambia,nakumbia kijana utakohoa damu....mh ila salute sana kwa yule mwalimu,alinifanya niielewe physics mwanzo mwisho,alitufundisha practicle zote mpaka za magnetism,Searle Bar method,yan topic zote tulifanya practicle zake kama zilikuwepo!(I mean kama the said topic ilikuwa na some experiment)
thats HKL and NOT PCB
i meant PUGU
Mi nakumbuka wakati tuko Advance, tulimaliza UP yote kwenye mechanics na baadhi ya topic nyingine sizikumbuki vizuri maana kitambo sana. Kwahiyo hadi hizo projectile unazizoona zimesimama tulizipiga fresh tu. Anyway sasa hivi sikumbuki kitu, yaani haina hata maana ya kukomaa na yale madude, sasa hivi njaa tu dah!kijana kuna maswali ya projectile ni matata,mfano mzuri ni la necta2007,kalitafute ulione,tafuta na kitabu kinaitwa university physics..
Mi nakumbuka wakati tuko Advance, tulimaliza UP yote kwenye mechanics na baadhi ya topic nyingine sizikumbuki vizuri maana kitambo sana. Kwahiyo hadi hizo projectile unazizoona zimesimama tulizipiga fresh tu. Anyway sasa hivi sikumbuki kitu, yaani haina hata maana ya kukomaa na yale madude, sasa hivi njaa tu dah!
Ndio upumbafuuu wa physics na maths, unasoma matango msitu kibao, afu ukija uraiani yote ni kama mabua na maboya, yaani useless....
Chem+bios ndio mambo yenye mantiki, very applicable....
wote hao cha mtoto kiboko alikuwa mkanda wille bana.