ngosheperson
Member
- Jan 12, 2013
- 36
- 2
Machenics jamani duu ilkuwa haishi (prove Benullius equation)
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
wote hao cha mtoto kiboko alikuwa mkanda wille bana.
ni kweli ila mkandawile anafundisha chemistry.wote hao cha mtoto kiboko alikuwa mkanda wille bana.
ni kweli ila mkandawile anafundisha chemistry.
Huyu kwa kemia mkuu organic na in organic!!!!!!
Mzee wa nundu za kukalia
Machenics jamani duu ilkuwa haishi (prove Benullius equation)
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
ile kitu inaitwa WAVE kwa ilikuwa na mambo mengi kwani nilishindwa kufunga nayo ndoa.
olesaidin umetsha ,u remember me xo far
yaani ukifundishwa na mkandawile then usielewe basi wewe sikio la kufa tu,mzee wa kolon kolon,nundu,mzee wa shabaaash,kudadaki..yaani ana vionjo flani hivi utapenda tu,kuna pugu boy mmoja alimfundisha zamani anaitwa bita kuboja yaani anampa sifa huyo mchizi balaa,alituambia ni daktari muhimbili,plus kumsifia mke wake..yeah,he teaches kemia bt he also knows phys!
huyo jamaa ni mtata,alinifundisha modern physics kwa kweli nilikua siwezi kukosa swali,ila usimsahau mtiga,huyo ndio mwisho wa reli.
Sikuipenda heat/cooling effect unapuliza huku unakoroga mpaka unaona kihindi hindi!!!!!!!
Meterbridge inasumbua kumbe limeliwa na kutu halafu techniciana anakuambia simpo tu chukua nyingine wakati time imekwenda!!!!!!!!!!
Wapi Nzoih na Docebit vos Omnia
yaani ukifundishwa na mkandawile then usielewe basi wewe sikio la kufa tu,mzee wa kolon kolon,nundu,mzee wa shabaaash,kudadaki..yaani ana vionjo flani hivi utapenda tu,kuna pugu boy mmoja alimfundisha zamani anaitwa bita kuboja yaani anampa sifa huyo mchizi balaa,alituambia ni daktari muhimbili,plus kumsifia mke wake..
electronics hasa kwenye logic gate ***** zake hiyo topic
hahahah,.. Hapo unacheza na negation
Tiryo la MKANDAWILE la ORGANIC & INORGANIC ni mwisho wa matatizo,jamaa katifua kila kitu hadi roho inasuuzika... Akina issue,mandia,unga wanaishia ku copy and paste tu!!
People Usually Go to Universisty
wala hujakosea,yule jamaa kweli ni genious,anamwaga nondo zote hizo bila daftari,yaani amemeza inorganic na organic kila kitu hadi nukta.Tiryo la MKANDAWILE la ORGANIC & INORGANIC ni mwisho wa matatizo,jamaa katifua kila kitu hadi roho inasuuzika... Akina issue,mandia,unga wanaishia ku copy and paste tu!!