Tupia picha ya kitu kilichokuvutia mpaka ukakipiga picha

Afisa Mteule Drj 2

JF-Expert Member
Mar 21, 2017
3,586
3,932
Mimi nilikutana na huu mto nikavutiwa na mazingira yake nikaamua kupiga picha.Huu unaitwa mto nzovwe.Sio lazima yawe mazingira tu bali kitu chochote ambacho kilikufanya uwe interested nacho.Watu,wanyama,cha msingi isiwe tu picha ya mtu akiwa bafuni anaoga

20210816_165300.jpg

20210816_165308.jpg
 
Back
Top Bottom