- Thread starter
- #61
itabidi tufanye mpango uwe unamfunza kiingeredha mkuluDictionary nilikuwa nakisia kuwafafanulia maneno ya kiingereza
itabidi tufanye mpango uwe unamfunza kiingeredha mkuluDictionary nilikuwa nakisia kuwafafanulia maneno ya kiingereza
Dictionary nilikuwa nakisia kuwafafanulia maneno ya kiingereza
tayari ushajua hivo jiandae kupokea wageni
hongera mkuu, watoto wengi wenye mapengo hulia wakitaniwa inaonekana ulikua jasiri sanailikua ukweli lakini...sikuwahi kulichukia
Amina mtumishikama ni kweli hongera sana, kuanzia leo tutakuita NCHUNGAJI
😂 Alooo sisemi atasema mwenyewe staki kung'atwa baadae..
hongera sana mr. BAKITAWalikuwa wananiita Bakita yaani ukipindisha sentensi mimi nakukosoa hapo hapo ukichapia neno sikucheleweshi ni hapohapo tuuu
Basi ikawa Bakita tuuu
umenichekesha sana mchambawimaMchambawima nlikuwa najinyea shule af nachamba humo humo wanaskia harufu tu
Ai lavu yu daiNaomba unitafsirie hili dictionary “ i love you die”
Mlete kwangu ni sehemu salamaitabidi tufanye mpango uwe unamfunza kiingeredha mkulu
Maskini huku kwetu kuna Bar moja ya walevi inaitwa MzaireMzaire
Na MimiMlete kwangu ni sehemu salama