Entreprenuare
JF-Expert Member
- Aug 24, 2019
- 1,616
- 1,735
Hiyo ndio nataka kui apply,
Unataka kufanya crops cultivation Au animal keeping??
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hiyo ndio nataka kui apply,
Nataka kulima kisasa na kufuga kisasa, naanza mwaka huu.Unataka kufanya crops cultivation Au animal keeping??
Sent from my iPhone using JamiiForums
Nataka kulima kisasa na kufuga kisasa, naanza mwaka huu.
machine is anything that simplifies work
teacher akataka mfano jamaa mmoja akasema PUNDA akatolewa nje![]()




Hajulikan ndugu yangu....lkn kwa level ya chuo kulikuwa na nadharia mbalimbali za asili ya lg ndio ikatokea nadharia ya kodini inayodai kulikuwa na lugha moja kutokana na ujenzi was mnara wa baberi Mungu aliwapa lugha tofauti ili washindwe kuwasiliana lkn pia ukitaka ujue lg no nasibu ukichukua watt wanne waliozaliwa ukawafungia shm ambayo hawawasilian Wala kusikia sauti ya mwanalugha yoyote wakifikia uwezo wa kuongea watatengeneza lugha yao na wataelewanakwahyo hata alieamua huko kutokea tu kuitwe nasibu hajulikani...
Bios means lifeKwa wale tuliobahatika kusoma hebu weka Definition moja unayoikumbuka iwe ya Form 1, 2, 3 or 4.
Mim naanza na
Microscope - is an instrument used to magnifying small objects.
everybody will continue on its state of rest or uniform motion provided that no external force acting on it... newtons 1st law au law of inertia.. kitambo sanaaaKwa wale tuliobahatika kusoma hebu weka Definition moja unayoikumbuka iwe ya Form 1, 2, 3 or 4.
Mim naanza na
Microscope - is an instrument used to magnifying small objects.
KakosaDemocracy mkuu, hapo umekosa, hiyo aliisema Abraham Lincoln
Hiyo sio definitionIn every action there is an equal and opposite reaction...sijui ni newton's law ya ngapi ila siji kuisahau kamwe!