Ha haaa ..JF haiishi utamu.Hauonagi wenzio wanavyozimia aisee.
Whatsap sasa ina limiti ku share mavitu madoc makubwa, unakosaje Telegram kwa simu yakoTengeneza group la watsap achana na matelegram wengine hatuna
Au poa fungua hilo la whatsap
Network Network network
Ndio kila kitu mfumo wa TanePs na GPSA ni mifumo tu mwisho wa siku nyuma ya hiyo mifumo wapo watu.
Kujua utamu wa ngoma ingia ucheze.
Je kampuni yako umeshaisajiri ? Ina muda gani ? Imeshapewa vibali vya GPSA (Vibali vya GPSA hutoka Mara 2 kwa mwaka )..
Kama majibu ya maswali yote hapo juu ni ndio uko sawa kuanza hustles , lakini nakushauri ungeanza na hata sector binafsi. Huko hawahitaji mambo ya GPSA au TanePs na mavibali Yao.
Wewe ni kuwa na Brela incorporation Certificate, Tin number , Bussiness licence , tax clearance na EFD machine tayari tenda unaanza kupiga. Ila huku serikalini daah Mambo mengi muda mchache.
Uliza swali lolote pm au hapa ujibiwe.
mkuu umeelezea vyema .hivi kupata tenda private sector naon wana vigezo vingi kuliko government ....mfano kweny mining companies? .Mkuu Soma hapo juu nimeandika vizuri documents gani unapaswa kuwa nazo ili iwe timilifu kuanza kubid tender za Serikali. Naomba upitie comment yangu hapo juu nimeeeleza kiundani na ushauri wangu.
Kingine Cha kukushauri eneo lako la kazi inabidi uwe mvumilivu maana Lina kazi chache Sana serikalini. Ningekushauri maeneo mengine ya kufanya kazi ili iwe rahisi kwako kupata kazi ukiwa unaendelea kukua. Nina rafiki yangu ana kampuni inayofanya kazi Kama yako huko serikalini anapata kazi chache Sana Tena kwa mbinde sana. Ndio maana juu hapo nikasema angalia upande wa secta binafsi ( NGO n.k ) . Huko ndiko anapata tenders nyingi.
Nakukumbusha tu kuwa na kampun sio issue ila Jambo la msingi ni kwanini unakuwa na kampuni ? .. Una mikakati gani ? Tender utapata vipi ( Public au private sector ).. Hayo maswali inabidi uwe na majibu kabla hujafungua kampuni kinyume na Hapo utakuwa na kampuni jina tu na hufanyi lolote.
Kumbuka kampuni Ni gharama , kila mwaka Kuna Kodi mbalimbali lazima ulipie kuanzia tra , halmashauri au wizarani wanakotoa bussiness license. Sasa unapokuwa na kampuni hujui utafanyaje kazi lazima utaifunga na itakuingiza hasara na utaifunga.
Anzisha group la whastsapp tupeane uzoefuHapana sijawahi kufanya service procuring Sana Sana Ni goods procuring.
Njoo PMKwa wale wajuzi wa mambo tupeane maujuzi ya jinsi ya kupata tenda ndogondogo na kubwa kubwa mfano tenda za ujenzi wa majengo mbalimbali ya serikali kama zahanati katika halmashauri za wilaya zetu.
Sumajkt washaingia huku ..... Kibaya experience na vifaa vinatukosesha tenda ...subiri watangaze manispaa , usisite kwenda kuuliza au kupitia taneps kila sikuNataka tenda ya usafi wa barabara nna kila kitu kasoro konektion tuuu
Toa rushwaKwa wale wajuzi wa mambo tupeane maujuzi ya jinsi ya kupata tenda ndogondogo na kubwa kubwa mfano tenda za ujenzi wa majengo mbalimbali ya serikali kama zahanati katika halmashauri za wilaya zetu.
Mimi nilifikiri private sector ndio ina vigezo vingi na kujuana kwa asilimia kubwa sana...Ukiomba private sector utapata, ila kwa government sector kuna vigezo vingi haijalishi ni tenda ya usafi
We mzee eti wanasem siku hizi bila lifti haufiki.Kwa wale wajuzi wa mambo tupeane maujuzi ya jinsi ya kupata tenda ndogondogo na kubwa kubwa mfano tenda za ujenzi wa majengo mbalimbali ya serikali kama zahanati katika halmashauri za wilaya zetu.
Kwa kampuni za nje zilizojisajili nchini kwao zinawezaje kupata tenda za ndani kwa mfano kuwa vendor wa sugar mills parts na agricultural machines?Mkuu Soma hapo juu nimeandika vizuri documents gani unapaswa kuwa nazo ili iwe timilifu kuanza kubid tender za Serikali. Naomba upitie comment yangu hapo juu nimeeeleza kiundani na ushauri wangu.
Kingine Cha kukushauri eneo lako la kazi inabidi uwe mvumilivu maana Lina kazi chache Sana serikalini. Ningekushauri maeneo mengine ya kufanya kazi ili iwe rahisi kwako kupata kazi ukiwa unaendelea kukua. Nina rafiki yangu ana kampuni inayofanya kazi Kama yako huko serikalini anapata kazi chache Sana Tena kwa mbinde sana. Ndio maana juu hapo nikasema angalia upande wa secta binafsi ( NGO n.k ) . Huko ndiko anapata tenders nyingi.
Nakukumbusha tu kuwa na kampun sio issue ila Jambo la msingi ni kwanini unakuwa na kampuni ? .. Una mikakati gani ? Tender utapata vipi ( Public au private sector ).. Hayo maswali inabidi uwe na majibu kabla hujafungua kampuni kinyume na Hapo utakuwa na kampuni jina tu na hufanyi lolote.
Kumbuka kampuni Ni gharama , kila mwaka Kuna Kodi mbalimbali lazima ulipie kuanzia tra , halmashauri au wizarani wanakotoa bussiness license. Sasa unapokuwa na kampuni hujui utafanyaje kazi lazima utaifunga na itakuingiza hasara na utaifunga.