YHK geneous
Senior Member
- Jun 24, 2017
- 188
- 120
Habari wana jukwaa.
Vile ambavyo jukwaa hili limekuwa likijulikana kama jukwa la tenda na ajira, Maranyingi huwa huwa zinatangazwa nafasi za ajira mbalimbali. Lakini leo nawaomba tujumuike pamoja kujadili na kuchambua fursa mbali za tenda au zabuni.
Tenda au zabuninyingi sana zimekuwa zinatangazwa kuanzia serikalini mpaka sekta binafsi, changamoto kubwa ni namna gani mtu au watu flani wanaweza wakata tenda hizo zinazotangazwa. Kwa yeyote mwenye kujua namna mbalimbali za kufanya ili mtu aweze kushinda zabuni hizo.
Je serikali au taasisi hizo binafsi zinaangalia vigezo gani katika utoaji wa hizo zabuni?
Je mtu binafsi kama mimi nifanyeje ili niweze kupata tenda au zabuni husika???...
Karibuni sana...
Vile ambavyo jukwaa hili limekuwa likijulikana kama jukwa la tenda na ajira, Maranyingi huwa huwa zinatangazwa nafasi za ajira mbalimbali. Lakini leo nawaomba tujumuike pamoja kujadili na kuchambua fursa mbali za tenda au zabuni.
Tenda au zabuninyingi sana zimekuwa zinatangazwa kuanzia serikalini mpaka sekta binafsi, changamoto kubwa ni namna gani mtu au watu flani wanaweza wakata tenda hizo zinazotangazwa. Kwa yeyote mwenye kujua namna mbalimbali za kufanya ili mtu aweze kushinda zabuni hizo.
Je serikali au taasisi hizo binafsi zinaangalia vigezo gani katika utoaji wa hizo zabuni?
Je mtu binafsi kama mimi nifanyeje ili niweze kupata tenda au zabuni husika???...
Karibuni sana...