Tupeane maujanja ya Excel

Safi sana... VLOOKUP hata kama una bidhaa 1000 unaweza Jua bei ya kila kitu au information yeyote ndani ya dakika moja!
Ok, tunashukuru kwa utalaamu wako.
Sasa tukija kwenye matokeo ya mtihani (tuchukulie mtihani wa mwisho wa muhula), nataka kujua idadi ya "A", kwa kila somo,idadi ya " B" kwa kila somo,idadi ya "C" kwa kila somo, idadi ya "D" kwa kila somo,idadi ya "F" kwa kila somo; jumla ya masomo ni 9. Je , nawezaje kuifanya kazi hii kwa wakati mmoja au na kwa formula moja?
Nitashukuru kwa majibu yako.
 
Ok, tunashukuru kwa utalaamu wako.
Sasa tukija kwenye matokeo ya mtihani (tuchukulie mtihani wa mwisho wa muhula), nataka kujua idadi ya "A", kwa kila somo,idadi ya " B" kwa kila somo,idadi ya "C" kwa kila somo, idadi ya "D" kwa kila somo,idadi ya "F" kwa kila somo; jumla ya masomo ni 9. Je , nawezaje kuifanya kazi hii kwa wakati mmoja au na kwa formula moja?
Nitashukuru kwa majibu yako.

Weka sample ya kazi uelekezwe vizuri mkuu
 
Weka sample ya kazi uelekezwe vizuri mkuu
90449b916bd71a44d953eec1879a98f1.jpg

Sasa sheet yangu inaonyesha majina ya wanafunzi pamoja na grade zao kwa kila somo (jumla masomo 9).
Sasa nataka kutengeneza summary ya ufaulu kulingana na grades zilizopo kwa kila somo na kwa wanafunzi wote-mfano somo la civics "A" ziko ngapi jumla? "B+" ziko ngapi jumla? n.k vivyo hivyo kwa masomo yote. Shida yangu ni kuitaka kazi yangu kuifanya kwa wakati mmoja na si kushughulikia somo moja moja.

Weka sample ya kazi uelekezwe vizuri mkuu
90449b916bd71a44d953eec1879a98f1.jpg
 
Njoo upate hayo maujanja ofisini kwetu The Computer Skills (ComSkills), Makumbusho Business Complex, 2nd Floor kuanzia saa 2 asub mpka 2 usiku. You will not be disappointed. Call 0717718519
Hapa Kwetu JF ni bure just bundle, huko kwenu nako ni bure?
 
tumia formula hii ya count if ambayo ipo ka ifuatavyo =COUNTIF(D5:D51,"*C*") nb d5:d51 zina badilika hiyo c inabadilika kutokana na nini unataka kukihesabu mfano inaweza ikawa A, B, C D
 
Ok, tunashukuru kwa utalaamu wako.
Sasa tukija kwenye matokeo ya mtihani (tuchukulie mtihani wa mwisho wa muhula), nataka kujua idadi ya "A", kwa kila somo,idadi ya " B" kwa kila somo,idadi ya "C" kwa kila somo, idadi ya "D" kwa kila somo,idadi ya "F" kwa kila somo; jumla ya masomo ni 9. Je , nawezaje kuifanya kazi hii kwa wakati mmoja au na kwa formula moja?
Nitashukuru kwa majibu yako.

tumia formula hii ya count if ambayo ipo ka ifuatavyo =COUNTIF(D5:51,"*C*") nb d5:d51 zina badilika hiyo c inabadilika kutokana na nini unataka kukihesabu mfano inaweza ikawa A, B, C D
 
naombeni kufahamishwa kama excel sheet ninaweza kuiaplod kwenye jamii forum kama inawezekana nitanyanye kuituma hapa
 
tumia formula hii ya count if ambayo ipo ka ifuatavyo =COUNTIF(D5:51,"*C*") nb d5:d51 zina badilika hiyo c inabadilika kutokana na nini unataka kukihesabu mfano inaweza ikawa A, B, C D
Sasa we jamaa, uliyoitoa inakuwa kama manually kwa kuwa kila somo itanibidi nitafute idadi ya A peke yake kwanza, kisha B+ peke yake, kisha B peke yake, kisha C peke take, n.k yaani mpaka masomo yote 9 ni shughuli.
Sasa mi nataka formula ya ku-process masomo yote 9 na kwa wanafunzi wote (hata wakiwa 600 kwa mfano) ili nipate summary ya jumla ya grades hizo kwa kila somo kwa wanafunzi wote.
 
Sasa we jamaa, uliyoitoa inakuwa kama manually kwa kuwa kila somo itanibidi nitafute idadi ya A peke yake kwanza, kisha B+ peke yake, kisha B peke yake, kisha C peke take, n.k yaani mpaka masomo yote 9 ni shughuli.
Sasa mi nataka formula ya ku-process masomo yote 9 na kwa wanafunzi wote (hata wakiwa 600 kwa mfano) ili nipate summary ya jumla ya grades hizo kwa kila somo kwa wanafunzi wote.
hiyo inaweza kufanya kwa kuandika =countif( halafu utaselect sehemu zote unazotaka uhesabu theni utaandika alama ya koma , halafu ikifuatiwa na "*C*") then utapless enter utapata majibu. ila kama kuna njia nyingine ndio tushirikishane hapa
 
Wadau,

Kujua Excel Spreadsheets ni muhimu sana...

Tunaweza tukashirikishana tricks mbalimbali katika Excel hapa ili tujifunze wote..

Unaweza pandishwa CHEO au Kupata kazi kirahisi Kwa kujua EXCEL vizuri.. Watanzania wengi udhaifu wao upo hapo.. So Unaifanya WEAKNESS hiyo kuwa Strength kwako.Kwenye Ofisi yeyote mtu ambaye haogopi excel huwa anaonekana ni kichwa sana.. unaweza pia ukamvutia bosi wako kama utaijua kumshinda yeye na atakufanya rafiki yako ili usimuumbue...

Kwenye Interview ndio utawamaliza kabisa ..ukikutana na viherehere wakakuchokoza hapo ndio unawaonesha ujuzi wako wote... wengi huwa hawaijui kwasababu ya uvivu... Kwa hiyo usiogope..Niliwahi ulizwa swali na panelist kwenye Interview nikaenda deep mpaka akaogopa maana kuna vitu alikuwa havijui na yeye akaamua apotezee hilo swali akarukia kitu kingine kukwepa aibu..

Weka Trick yako hapo chini ili wengine wafaidi au kama unaswali uliza nitakujibu mimi au wadau wengine...

Ingependeza sana pale unapokwama uulize swali hapa.. Ili tujadiliane vitu ambavyo ni useful katika mazingira yetu ya shule au kazini...

Dunia ya sasa sio lazima uende darasani.. Unaweza tumia muda wako na MB zako vizuri mtandaoni na ukaongeza Ujuzi polepole

**Kama unatafuta kazi na umeandika Kwenye CV kwamba una ujuzi na Excel fuatilia huu uzi na group uwe updated na vitu mbalimbali ili usije umbuka siku ukiwa unafanya written au Oral Interview

** Nitakuwa naelezea Common questions ambazo waajiri hupenda kuuliza kukupima uelewa wako katika Spreadsheets.. Ni Muda na MB zako tu.. Sihitaji kingine...

Please NOTE

** Usiulize kitu unachokijua kupima watu Bali andika trick unayoijua ili wengine wafaidi na kama unaswali ULIZA wataalam tutakusaidia



PS:
Kama upo Telegram unaweza Ingia Kwenye Public Channel ipo hapo chini Kwa vitu ambavyo haviwezekani kuelezewa hapa vizuri..Kama video na files. Ni public channel ya kusoma na Sio sehemu ya chatting!


gonga hapo >>>> Excel/SpreadsheetsTZ

Naomba kuwasilisha!

Ethos
upload_2017-10-18_22-47-18.png

Mkuu naomba ulelweshe formular
 
View attachment 612144
Mkuu naomba ulelweshe formular

Majibu yako haya mkuu
1.jinsi ya kupata Tax Price kulingana na rate yako ya kodi hapo utaweka function hii =B3(ambayo ni price before tax)*20/100(ambayo tax rate) ndo utapata tax price kama kwenye picha hapo
Screenshot_20171019-053248.png

2.Ili kupata Taxed price utachukua B3(Ambayo price before Tax)-C3(Tax price) ndo utapata Taxed price kama kwenye picha hapo.
Screenshot_20171019-053304.png
 
hiyo inaweza kufanya kwa kuandika =countif( halafu utaselect sehemu zote unazotaka uhesabu theni utaandika alama ya koma , halafu ikifuatiwa na "*C*") then utapless enter utapata majibu. ila kama kuna njia nyingine ndio tushirikishane hapa
Ngoja nijaribu, nitakuletea mrejesho.
 
Mkuu mi nataka kutengeza page ya excel ntayoweka total number ya items...na kila nikitoa item moja mfano ziko jumla 20 basi nikitoa moja ibaki 19 automatically...nikitoa ingine zibaki 18 ivo ivo mpaka ziishe. Na zikiisha inipe alert kwamba zimeisha au zinakaribia kuisha!!! Nipe mwongozo hapo
Rahisi sana. Lazima ufanye conditional formating ili iwe inabadilika rangi kulingana na stock yako inavopungua na ikikaribia kuisha kabisa iwe nyekundu. Ila unaweka column tatu. Moja ya stock ingine ya sales na ingine inadeduct kutoka kwenye stock so ukiuza moja huku zinabaki 19
 
JAMANI, NAOMBENI KWA ANAEJUA, ANISAIDIE NAMNA YA KUANDIKA BARUA KWA KUTUMIA EXCEL......... NI SWALI NIMEULIZWA JAMANI KWENYE USAILI.
 
Back
Top Bottom