Tupeane maujanja ya Excel

Ushawahi kuwa jinsi ya kutenganisha au kugawanya data katika excel ? yaani zilizoo katika column moja kuwa mbili ? Pata darasa kidogo hapa na nishukuru baadae...

Chagua column ambayo unataka kuigawa,

then nenda kwenye data----->> halafu utaona sehemu kwa juu imeandikwa text to columns click hapo

itatokea hivi

View attachment 547604


Then chagua delimited, kitakuja kituma kama hiki hapo chini. Fixed width yaani kutenganisha kwa upana fulani tutazungumzia siku ingine. Bonyeza next


View attachment 547607


Unaweza ukachagua kugawanya kwa kutumia space, semi colon, au alama yoyote ambayo ipo common katika column husika. Mimi hapo nimechagua kutumia dash yaani - utaona neno Jamii forums na number zimetengana. then click next

utapata kitu kama hiki hapa chini baada ya ku click finish


View attachment 547608


Nakaribisha maswali... Kama upo telegram usisahau kufuata link na kuingia katika group letu.

Link>>>>> Excel/SpreadsheetsTZ



Ethos.
asante mkuu ila umepotea sana
 
Nimepost pia telegram, hapa

Kila siku kutakuwa na kitu kipya cha kujifunza

Jinoe polepole haina haja ya kwenda darasani

Hii ni kwa ajili ya watu wote. Usiabike kazini kwa lutojua kitu kidogo

Ethos .
 
0f4338e1a29e94ee33ec2b911985df76.jpg


Ukitaka Mafanikio katika kitu chochote hakikisha unaweka bidii...Mafanikio hayaji Kwa kukwepa Majukumu


Asante sana mkuu
 
Asante kwa Swali lako zuri..

Andika =SUM( A1:A100) hapo ni kama namba zako zinaanzia A1 hadi A100... hiyo formula iandike sehemu ambayo unataka TOTAL IWE INAONEKANA.. Kadiri utakavyokuwa unaziongeza namba na Idadi itabadilika NAGALIA picha hapa chini na kama utakuwa na swali zaidi karibu

Ukiangalia kwenye formula nime include hadi cells amabzo hazina data ila unapoongeza jumla yake itaonekana kule juu ndio maana nimeandika hadi C80 Hivyo unaweza weka hata C1000 kama data zako ni nyingi


ba1fb404d09f47de2300c63625531a5d.jpg
Sasa Mkuu, labda kwa mfano nataka hiyo A5 na kushuka chini ziwe zinajiandika kwa namba kwa kawaida yaani ianzie 1,2,3...... kwasababu A1 mpka A3 ntaandika Title.

Nifanyeje hapo?
 
Sasa Mkuu, labda kwa mfano nataka hiyo A5 na kushuka chini ziwe zinajiandika kwa namba kwa kawaida yaani ianzie 1,2,3...... kwasababu A1 mpka A3 ntaandika Title.

Nifanyeje hapo?
High light hiyo column A yote halafu right click then chagua Insert Column

Halafu weka number 1 na 2 Row ya A5 na A6 then zi highlight zote halafu drag kwenda chini mpaka idadi unayotaka

Asante.

Ethos.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Njia rahisi Condition formating>Duplicate value na kama unataka kujua zimejirudia mara ngapi tumia CountIF Function =CountIf($a$1:$a$X,a1) where a1:ax ni data range ktk column na a1 ni figure unayotaka kujua kama imejirudia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wadau,

Kujua Excel Spreadsheets ni muhimu sana...

Tunaweza tukashirikishana tricks mbalimbali katika Excel hapa ili tujifunze wote..

Unaweza pandishwa CHEO au Kupata kazi kirahisi Kwa kujua EXCEL vizuri.. Watanzania wengi udhaifu wao upo hapo.. So Unaifanya WEAKNESS hiyo kuwa Strength kwako.Kwenye Ofisi yeyote mtu ambaye haogopi excel huwa anaonekana ni kichwa sana.. unaweza pia ukamvutia bosi wako kama utaijua kumshinda yeye na atakufanya rafiki yako ili usimuumbue...

Kwenye Interview ndio utawamaliza kabisa ..ukikutana na viherehere wakakuchokoza hapo ndio unawaonesha ujuzi wako wote... wengi huwa hawaijui kwasababu ya uvivu... Kwa hiyo usiogope..Niliwahi ulizwa swali na panelist kwenye Interview nikaenda deep mpaka akaogopa maana kuna vitu alikuwa havijui na yeye akaamua apotezee hilo swali akarukia kitu kingine kukwepa aibu..

Weka Trick yako hapo chini ili wengine wafaidi au kama unaswali uliza nitakujibu mimi au wadau wengine...

Ingependeza sana pale unapokwama uulize swali hapa.. Ili tujadiliane vitu ambavyo ni useful katika mazingira yetu ya shule au kazini...

Dunia ya sasa sio lazima uende darasani.. Unaweza tumia muda wako na MB zako vizuri mtandaoni na ukaongeza Ujuzi polepole

**Kama unatafuta kazi na umeandika Kwenye CV kwamba una ujuzi na Excel fuatilia huu uzi na group uwe updated na vitu mbalimbali ili usije umbuka siku ukiwa unafanya written au Oral Interview

** Nitakuwa naelezea Common questions ambazo waajiri hupenda kuuliza kukupima uelewa wako katika Spreadsheets.. Ni Muda na MB zako tu.. Sihitaji kingine...

Please NOTE

** Usiulize kitu unachokijua kupima watu Bali andika trick unayoijua ili wengine wafaidi na kama unaswali ULIZA wataalam tutakusaidia



PS:
Kama upo Telegram unaweza Ingia Kwenye Public Channel ipo hapo chini Kwa vitu ambavyo haviwezekani kuelezewa hapa vizuri..Kama video na files. Ni public channel ya kusoma na Sio sehemu ya chatting!


gonga hapo >>>> Excel/SpreadsheetsTZ

Naomba kuwasilisha!

Ethos
Mkuu hiyo link mbona haifunguki?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wadau,

Kujua Excel Spreadsheets ni muhimu sana...

Tunaweza tukashirikishana tricks mbalimbali katika Excel hapa ili tujifunze wote..

Unaweza pandishwa CHEO au Kupata kazi kirahisi Kwa kujua EXCEL vizuri.. Watanzania wengi udhaifu wao upo hapo.. So Unaifanya WEAKNESS hiyo kuwa Strength kwako.Kwenye Ofisi yeyote mtu ambaye haogopi excel huwa anaonekana ni kichwa sana.. unaweza pia ukamvutia bosi wako kama utaijua kumshinda yeye na atakufanya rafiki yako ili usimuumbue...

Kwenye Interview ndio utawamaliza kabisa ..ukikutana na viherehere wakakuchokoza hapo ndio unawaonesha ujuzi wako wote... wengi huwa hawaijui kwasababu ya uvivu... Kwa hiyo usiogope..Niliwahi ulizwa swali na panelist kwenye Interview nikaenda deep mpaka akaogopa maana kuna vitu alikuwa havijui na yeye akaamua apotezee hilo swali akarukia kitu kingine kukwepa aibu..

Weka Trick yako hapo chini ili wengine wafaidi au kama unaswali uliza nitakujibu mimi au wadau wengine...

Ingependeza sana pale unapokwama uulize swali hapa.. Ili tujadiliane vitu ambavyo ni useful katika mazingira yetu ya shule au kazini...

Dunia ya sasa sio lazima uende darasani.. Unaweza tumia muda wako na MB zako vizuri mtandaoni na ukaongeza Ujuzi polepole

**Kama unatafuta kazi na umeandika Kwenye CV kwamba una ujuzi na Excel fuatilia huu uzi na group uwe updated na vitu mbalimbali ili usije umbuka siku ukiwa unafanya written au Oral Interview

** Nitakuwa naelezea Common questions ambazo waajiri hupenda kuuliza kukupima uelewa wako katika Spreadsheets.. Ni Muda na MB zako tu.. Sihitaji kingine...

Please NOTE

** Usiulize kitu unachokijua kupima watu Bali andika trick unayoijua ili wengine wafaidi na kama unaswali ULIZA wataalam tutakusaidia



PS:
Kama upo Telegram unaweza Ingia Kwenye Public Channel ipo hapo chini Kwa vitu ambavyo haviwezekani kuelezewa hapa vizuri..Kama video na files. Ni public channel ya kusoma na Sio sehemu ya chatting!


gonga hapo >>>> Excel/SpreadsheetsTZ

Naomba kuwasilisha!

Ethos
Wadau, kama kuna kundi la namna yeyote liwe la whatsApp linalotoa elimu hii n naomba niunganishwe namba yangu ni 0757062351

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu nakaupongeza sana kwa kuanzisha kundi hili,nimekuwa natafuta kinda la namna hii kwa muda mrefu.kinatia excel kwa kiasi Fulani katika kazi zangu.Nina kiu ya kijifunza kutenzeneza matokeo ya wanafunzi wangu kwa mtundo wa NECTA.Nina weza kubadili Maksi tarakimu kuwa Hereford (grade).vitu vinavyo nishinda na Naomba mnifundishe ni namna ya kuwa piga penalt wanafunzi wanaofeli masomo ya msingi.na kuweka absent kwa Yule ambaye hakufanya mtihani.asente
 
Back
Top Bottom