mwallu
JF-Expert Member
- Sep 5, 2013
- 6,787
- 4,215
- Thread starter
- #41
miezi tisa hata sio mingi kivile...na mwenye mimba akipata msongo wa mawazo tu basi inamuathiri sana yani..
wanaume baadhi ni wapyumbavu sana
hua hawakumbuki kua mimba si kilema
akiona mwanamke na tumbo lake hawezi mibinjuo
basi soltn ni kutoka nje,na kumnyanyapaa mke kisa mimba
haya sasa mke kajifungua anataka nini,alisahau nini,ningechoma
zawadi zake mbele yake,yule aliempenda kipindi mwenzie mja mzito
kaishia wapi?na wanaambiwa mkosee mwanamke akiwa mzima,lakini
akiwa ktk hali ya mimba jitahidi kumridhisha mkeo coz ukimuumiza
yale maumivu hua ni ngumu kutoka moyoni!!shikamooni wanaume!!