Tupe ushuhuda wa mapenzi yako hapa

Tupe ushuhuda wa mapenzi yako hapa

Kuna binti nalitokea kumkubali na nikahitaji kufanya naye maisha ,ila kona zake zikawa nyingi ingawa nilikua pure and true kwake ,,, aahh nikaona isiwe tabu bana ,maisha lazima yaendelee isionekane Mimi ndo mwenye uhitaji sanaaa ,nikaamsha zangu !!
 
huu ni mwezi wa mapenzi
tunaomba kila mtu atoe ushuhuda wa maisha yake ya mapenzi
je upo kwenye mapenzi na mtu?
kama ni mume/mke je ni kweli unampenda mwezako kimapenzi? na yeye je anakupenda au mpo tu kwa ajili ya watoto?

mimi nipo bilabila sina anaenipenda wapo wanaonitamani tu wanile papuchi wasepe ila sijawahi kuona mtu ananipenda sidhani . na mimi nimeacha kupenda penda .
Njoo kwangu mama tuufungue ukurasa mpya Valentine hii!
Unataka twende wapi King Solomon Hotel basi mororooo.
 
huu ni mwezi wa mapenzi
tunaomba kila mtu atoe ushuhuda wa maisha yake ya mapenzi
je upo kwenye mapenzi na mtu?
kama ni mume/mke je ni kweli unampenda mwezako kimapenzi? na yeye je anakupenda au mpo tu kwa ajili ya watoto?

mimi nipo bilabila sina anaenipenda wapo wanaonitamani tu wanile papuchi wasepe ila sijawahi kuona mtu ananipenda sidhani . na mimi nimeacha kupenda penda .
kwa nini huwa unatoa papuchi yako hovyohovyo?
 
Habari ndio hiyo hakuna wa kukupenda lile pendo haswa siku hizi. Tafuta wa kuongea naye, kufanyana naye kwa raha zako ukitoka hapo unajipenda mwenyewe!
Mawazo kama haya niyawatu wenye tatizo la kisaikolojia,mapenzi nikama bahari yagawe tu kwa uhuru
 
huu ni mwezi wa mapenzi
tunaomba kila mtu atoe ushuhuda wa maisha yake ya mapenzi
je upo kwenye mapenzi na mtu?
kama ni mume/mke je ni kweli unampenda mwezako kimapenzi? na yeye je anakupenda au mpo tu kwa ajili ya watoto?

mimi nipo bilabila sina anaenipenda wapo wanaonitamani tu wanile papuchi wasepe ila sijawahi kuona mtu ananipenda sidhani . na mimi nimeacha kupenda penda .
Usikubari kuliwa papuchi tu bure bure, kumbuka papuchi yako inathamani ninamaana yakuwa utakapo funua sketi yako iwe ni kwamalengo ya kupata mtoto tu sawa dada angu. Hakuna furaha ya mwili kama kupata mtoto hiyo ndo furaha kubwa kuliko zote.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom