Tupe ushuhuda wa mapenzi yako hapa

Tupe ushuhuda wa mapenzi yako hapa

Mungu pekee hatoshi, kuna wakati unahitaji kuishi dunia halisi "kwa uhalisia wake".
Mungu anisaidie kumpata tutakayeendana naye na mwenye true love sio muongo ni mhuni mhuni. Hapo kuishi uhalisia ni kawaida ila sio kwa kuishi na muongo
 
Sina mpenzi ila wanaonipenda kwa dhati wapo na wanaotaka kula papuchi wako wengi zaidi. Sijakata tamaa ya kupenda nasubiria nipate mwingine nimpende hata akatokea mtu nikamuelewa nitampa papuchi kiroho safi.
Daaahhh.....me hapa mwingine.......hope mwakan utakuja kutoa ushuhuda....kaa wengine walivyo fanya leo.....1 2 3 love u, 4 5 6 i mic u.....ili song nalipenda sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom