Tupe maujanja (part 2)

Tupe maujanja (part 2)

Jaguar

JF-Expert Member
Joined
Mar 6, 2011
Posts
3,440
Reaction score
1,029
Kuna barua muhimu sana ya kijeshi inatakiwa kusafirishwa toka mji A kwendja mji B.mji A kuna kituo cha mafuta chenye mafuta ya kutosha lakini barabara nzima inayounga mji A na B hakuna kituo cha mafuta njiani.Gari zilizopo mji A ni za aina moja na capacity ya tank zake za mafuta ni kwenda nusu ya safari kati ya A na B.Hizi gari haziwezi kubebana,kuvutana wala kusukumana na pia hakuna uwezekano wa kufungua tank ya gari yoyote na hakuna chombo cha ziada cha kubebea mafuta.Uwezekano pekee uliopo ni wa haya magari kupeana mafuta yakiwa yanasafiri pamoja.(HINT),Hii gari haina sehemu ya ziada ya kubeba mafuta.(SWALI):Tumia magari machache utakavyoweza ili barua ifike mji B.
 
Ok ngoja nitoe mwanga. assume from town A to town B is 100km and your car fuel tank tank capacity is 50LT so I will start with 3 car ( kama mtu akichukua idea yangu ruksa kuongeza magari) magari mawili yaishie 20Km ili yaweze kurudi point A chukua LT 10 kutoka kwa kila gari (zitakazoishia 20KM, so utakuwa na LT 20 +50 za gari lingine zinakuwa 70LT zitakazokufikisha Km 70 bado 30 tu....... narudi.......
 
Ok ngoja nitoe mwanga. assume from town A to town B is 100km and your car fuel tank tank capacity is 50LT so I will start with 3 car ( kama mtu akichukua idea yangu ruksa kuongeza magari) magari mawili yaishie 20Km ili yaweze kurudi point A chukua LT 10 kutoka kwa kila gari (zitakazoishia 20KM, so utakuwa na LT 20 +50 za gari lingine zinakuwa 70LT zitakazokufikisha Km 70 bado 30 tu....... narudi.......
We endelea kutoa jibu bana!
Leo weekend tunapumzisha vichwa
 
Ok ngoja nitoe mwanga. assume from town A to town B is 100km and your car fuel tank tank capacity is 50LT so I will start with 3 car ( kama mtu akichukua idea yangu ruksa kuongeza magari) magari mawili yaishie 20Km ili yaweze kurudi point A chukua LT 10 kutoka kwa kila gari (zitakazoishia 20KM, so utakuwa na LT 20 +50 za gari lingine zinakuwa 70LT zitakazokufikisha Km 70 bado 30 tu....... narudi.......

Idea ni kama hiyo hapo juu ila magari sasa yanongezeka.... ukiwa na magari 6 yaite A,B,C,D,E,F Gari lako liite C, Gari a na b yaishie 20km from point A chukua lt 10 kutoka kila gari, yatabaki na 20 ya kuwayarudisha point A (kumbuka gari lako litakuwa na nafasi ya kuweka 20 lt tu as far as limetembea 20 Km) utakuwa na 50Lt gari D,E pia yaishie 20km na unatoa tena 20 Lt from D na E yaweke kwenye gari la sita (gari F) gari C na F ziendelee na safari mpaka 30 KM fro point A, take 10 LT from gari F (litabaki na Lt 30 za kurudi Point A,) weka gari C safari yako itaishi Km 80 LESS 20KM to point B.......jamani mwingine basi amalizie....I will be Back...Jaguar get ready to give another senkyuuu...teh teh teh teh..
 
Ok ngoja nitoe mwanga. assume from town A to town B is 100km and your car fuel tank tank capacity is 50LT so I will start with 3 car ( kama mtu akichukua idea yangu ruksa kuongeza magari) magari mawili yaishie 20Km ili yaweze kurudi point A chukua LT 10 kutoka kwa kila gari (zitakazoishia 20KM, so utakuwa na LT 20 +50 za gari lingine zinakuwa 70LT zitakazokufikisha Km 70 bado 30 tu....... narudi.......

Idea ni kama hiyo hapo juu ila magari sasa yanongezeka.... ukiwa na magari 6 yaite A,B,C,D,E,F Gari lako liite C, Gari a na b yaishie 20km from point A chukua lt 10 kutoka kila gari, yatabaki na 20 ya kuwayarudisha point A (kumbuka gari lako litakuwa na nafasi ya kuweka 20 lt tu as far as limetembea 20 Km) utakuwa na 50Lt gari D,E pia yaishie 20km na unatoa tena 20 Lt from D na E yaweke kwenye gari la sita (gari F) gari C na F ziendelee na safari mpaka 30 KM fro point A, take 10 LT from gari F (litabaki na Lt 30 za kurudi Point A,) weka gari C safari yako itaishi Km 80 LESS 20KM to point B.......jamani mwingine basi amalizie....I will be Back...Jaguar get ready to give another senkyuuu...teh teh teh teh..

hebu mwingine amalizie..... nimebakiza only 20KM barua ifike....
 
Tumia mifano yenye akili. km 100 tanki Lt50 hata kama gari yako ingekuwa inatumia lt 2 kwa km ungefika tu uendako.
 
Tumia mifano yenye akili. km 100 tanki Lt50 hata kama gari yako ingekuwa inatumia lt 2 kwa km ungefika tu uendako.

Unasubiri nini kuweka mfano wako wenye akili?..... utajuaje kama huo mji magari yanatumia 1LT kwa 1km??
 
Tumia magari manne (4):jaza gari zote full tank>>Gari zitembee 25% ya umbali,tank zote zitakuwa nusu ujazo>>Gari (2) zifaulishe mafuta kwa gari zingine(2) >>Hizi gari zitajaa full tank tena,zitakwenda mpaka 50% ya safari,tank za mafuta zitakuwa nusu ujazo tena>>Gari moja ifaulishe mafuta kwenda gari nyingine>>Hii gari itajaa full tank tena na itaondoka na barua hadi mwisho wa safari(100%).
 
Tumia magari manne (4):jaza gari zote full tank>>Gari zitembee 25% ya umbali,tank zote zitakuwa nusu ujazo>>Gari (2) zifaulishe mafuta kwa gari zingine(2) >>Hizi gari zitajaa full tank tena,zitakwenda mpaka 50% ya safari,tank za mafuta zitakuwa nusu ujazo tena>>Gari moja ifaulishe mafuta kwenda gari nyingine>>Hii gari itajaa full tank tena na itaondoka na barua hadi mwisho wa safari(100%).
Hizo gari zilizotoa mafuta ndo hazitakiwi kurudi au hapo ndo itakuwa mwisho wake.
 
Hizo gari zilizotoa mafuta ndo hazitakiwi kurudi au hapo ndo itakuwa mwisho wake.
Unataka zirudi?okay:kuna gari moja iko nusu ya safari na gari zingine mbili zipo robo ya safari>>Tuma gari 2 kwenda pale 1/4 safari,zitafika zikiwa nusu tank>>kila gari ifaulishe 1/4 tank kwenda zile gari mbili>>Baada ya mgao huu,gari zote nne zitakuwa na 1/4 tank na zote zitarudi hadi 1/8 ya safari>>Tuma gari zingine mbili mpaka 1/8 ya safari,zitafika zikiwa na 3/4 tank>>kila gari moja igawe 1/4 tank kwa gari mbili>>Baada ya mgao,gari zote 6 zitakuwa 1/4 tank na zitasafiri mpaka mji A.>>Imebaki gari moja pale 50% au 1/2 ya safari>>Tuma gari mbili zikiwa full tank mpaka 1/4 ya safari>>zikifika hapo zitakuwa 1/2 tank,gari moja ifaulishe mafuta yake yaliyobaki kwenda gari nyingine>>Hii gari itakuwa full tank na itakwenda mpaka 1/2 ya safari pale ilipo gari nyingine,itafika ikiwa 1/2 tank>>itafaulisha 1/4 tank kwenda ile gari nyingine na zote zitarudi mpaka 3/8 ya safari>>Tuma gari zingine mbili mpaka 1/4 ya safari,gari moja ifaulishe mafuta kwa nyingine>>Hii gari itakuwa full tank na ikifika 3/8 ya safari itabaki na 3/4 tank,itagawa 1/4 tank kwa kila gari kati ya zile mbili,baada ya mgao kila gari itakuwa na 1/4 tank na gari zote tatu zitarudi mpaka 1/4 ya safari,to be continued...
 
Unataka zirudi?okay:kuna gari moja iko nusu ya safari na gari zingine mbili zipo robo ya safari>>Tuma gari 2 kwenda pale 1/4 safari,zitafika zikiwa nusu tank>>kila gari ifaulishe 1/4 tank kwenda zile gari mbili>>Baada ya mgao huu,gari zote nne zitakuwa na 1/4 tank na zote zitarudi hadi 1/8 ya safari>>Tuma gari zingine mbili mpaka 1/8 ya safari,zitafika zikiwa na 3/4 tank>>kila gari moja igawe 1/4 tank kwa gari mbili>>Baada ya mgao,gari zote 6 zitakuwa 1/4 tank na zitasafiri mpaka mji A.>>Imebaki gari moja pale 50% au 1/2 ya safari>>Tuma gari mbili zikiwa full tank mpaka 1/4 ya safari>>zikifika hapo zitakuwa 1/2 tank,gari moja ifaulishe mafuta yake yaliyobaki kwenda gari nyingine>>Hii gari itakuwa full tank na itakwenda mpaka 1/2 ya safari pale ilipo gari nyingine,itafika ikiwa 1/2 tank>>itafaulisha 1/4 tank kwenda ile gari nyingine na zote zitarudi mpaka 3/8 ya safari>>Tuma gari zingine mbili mpaka 1/4 ya safari,gari moja ifaulishe mafuta kwa nyingine>>Hii gari itakuwa full tank na ikifika 3/8 ya safari itabaki na 3/4 tank,itagawa 1/4 tank kwa kila gari kati ya zile mbili,baada ya mgao kila gari itakuwa na 1/4 tank na gari zote tatu zitarudi mpaka 1/4 ya safari,to be continued...
Pale 1/4 safari zipo gari 5>>Tuma gari 2 mpaka hapo 1/4 safari,zitafika zikiwa 1/2 tank>>kila gari itoe 1/4 tank kwa gari moja,gari 4 zitarudi mpaka 1/8 ya safari>>tuma gari mbili hadi 1/8 ya safari,zitafika zikiwa 3/4 tank>>kila gari igawe 1/4 tank kwa gari mbili,gari 6 zitakuwa na 1/4 tank na zitarudi mpaka mji A>>tumia the same procedure kwa gari zingine mbili mpaka zirudi A>>Itabaki gari 1 pale 1/4 safari,tuma gari moja ikiwa full tank mpaka pale 1/4 safari>>itafika ikiwa 1/2 tank na zitagawana 1/4 tank na zitarudi mpaka 1/8 ya safari>>Tuma gari moja mpaka hapo 1/8 ya safari,itafika ikiwa na balance 3/4 tank,gawa 1/4 tank kwa kila gari>>gari zote tatu zitakuwa na 1/4 tank na zitarudi back to A,mission accomplished!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom