Tupate wapi tena Rais kama huyu?

Tupate wapi tena Rais kama huyu?

Mwananchi Huru

JF-Expert Member
Joined
Nov 20, 2021
Posts
2,513
Reaction score
2,196
Tanzania tupate wapi tena Mtu kama huyu ambae Mungu yuko ndani yake?

1. Rais anayeweza kutunga sheria itakayowafanya Watanzania hasa wanyonge wasilundikwe magerezani kwa kusubiri Upelelezi wa kesi zao Ukamilike,Sasa itakuwa ni marufuku kupeleka mtuhumiwa magereza kama Upepelezi wa kesi yake haujakamilika,

2. Rais anayeweza kutunga sheria yakuwafanya Polisi wasiwashikirie watuhumiwa kwa muda mrefu hasa baada ya kuachiwa na Mahakama wao huwakamata tena na kuwafungulia kesi ile ile Upya, Na kasi kupewa namba mpya hata kama inamiaka kumi Mahakamani, Chini ya Rais Samia Suluhu Hassan hili NO,

3. Rais anayeweza kufungulia vyombo vyote vya habari vilivyofungiwa kwa hila na nia ovu ya Mtangulizi wake bila kujali vyombo hivyo vilitoa ajira kwa maelfu ya Watanzania hawa Masikini kabisa,hapa niwaombe wanahabari fuateni miiko ya kazi zenu,be professional Rais Samia anawapenda msimuangushe.

4. Rais anayeweza kukutana na kinara wa Upinzani anayeishi Uhamishoni nchi Ubelgiji Mhe Tundu Antipus Mungwayi Lissu bila kujali nini watasema wasioitakia mema nchi hii,Mimi nauliza,Tanzania tupate wapi tena mtu kama huyu?

5. Rais anayeweza kudhibiti rushwa kwa kipimo cha CPI kutoka nafasi ya 94 Kati ya nchi 180 hadi kufikia nafasi ya 87 kati ya nchi 180,Kwa lugha nyepesi mtu huyu kwa muda huu mfupi amepunguza rushwa kwa nafasi 7 kidunia,Rushwa haipingwi kwa tumbuatumbua inapingwa kwa mifumo huru hasa " Uhuru wa habari "

6. Rais anayeweza kupewa Euro milioni 258 bure na Ufaransa karibu TZS 676.87BL na hii ni kutokana na mipango mizuri ya maendeleo inayoelezeka kimataifa,Nchi kama Ufaransa haiwezi kutoa pesa za bure kwa Rais asiyefahamu wapi anataka kufika,Tuunge mkono ziara hizi zinaleta matokeo makubwa kwa Taifa,

7. Rais anayeweza kutimua wakurugenzi wanne kwa mpigo kwa tuhuma za wizi na Ufisadi hii haijawahi kutokea kwenye Taifa hili,Watanzania lazima mwelewe huyu Mama ni mkali kuliko hata mtangulizi wake hasa kwenye " Rushwa na Ufisadi "

8. Rais anayeweza kumsamehe gaidi freeman Mbowe licha ya mahakama kuu kumtia hatiani na kumwalika Ikulu akanywa na juice ya Ikulu, ili kuimarisha udugu wetu,

9.Rais anayeamua kuvua heshima yake na kuanza kurekodi filamu ili tu nchi yake ipate watalii wakutosha, hiki ni kiwango cha juu kabisa cha Uzalendo,

Tupate wapi tena mtu kama huyu?



IMG-20220217-WA0029.jpg
 
Rais Samia kwakweli anastahili kuungwa mkono na kila mtu mwema wa Taifa hili,

Itatuchukua miaka mingi kumpata mzalendo mwingine kama huyu Mama,

CHADEMA lazima muone nia njema ya mtu kwa Taifa,

Natamani vyama vyote vimuunge mkono 2025 ili awe ni mgombea pekee kwa haya anayoyafanya,
 
Mimi nimesema wakati wote,

Nikweli kwamba Tanzania imepata mtu ambae anaweza akajenga misingi ya Tanzania ya miaka 100 ijayo,

Rais Samia ni mtu anayependa kuona Tanzania ikiwa moja, watu wake wakiiwa wamoja,

Rais Samia anatamani kuona tunakuwa na viongozi waadilifu na wenye kujali zaidi watu wanaowaongoza,

Rais Samia bado ni Mtu bora zaidi kwenye nafasi Ya Urais Tanzania,
 
Rais Samia kwakweli anastahili kuungwa mkono na kila mtu mwema wa Taifa hili,

Itatuchukua miaka mingi kumpata mzalendo mwingine kama huyu Mama,

CHADEMA lazima muone nia njema ya mtu kwa Taifa,

Natamani vyama vyote vimuunge mkono 2025 ili awe ni mgombea pekee kwa haya anayoyafanya,
Heshima yako mkuu CM 1774858

Nikweli CHADEMA na vyama vingine lazima waungane na Rais kuipaisha tanzania kimaendeleo,

Asante kwa mchango mkuu wangu😍😍😍
 
Mimi nimesema wakati wote,

Nikweli kwamba Tanzania imepata mtu ambae anaweza akajenga misingi ya Tanzania ya miaka 100 ijayo,

Rais Samia ni mtu anayependa kuona Tanzania ikiwa moja, watu wake wakiiwa wamoja,

Rais Samia anatamani kuona tunakuwa na viongozi waadilifu na wenye kujali zaidi watu wanaowaongoza,

Rais Samia bado ni Mtu bora zaidi kwenye nafasi Ya Urais Tanzania,
Hakika Tanzania tumepata Rais Mzalendo wa kweli, 😍😍😍
 
Hii ni tabia na umekaririshwa desa.

Hata kwa awamu zilizopita na zijazo hutabadilika!!
 
Rais Samia kwakweli anastahili kuungwa mkono na kila mtu mwema wa Taifa hili,

Itatuchukua miaka mingi kumpata mzalendo mwingine kama huyu Mama,

CHADEMA lazima muone nia njema ya mtu kwa Taifa,

Natamani vyama vyote vimuunge mkono 2025 ili awe ni mgombea pekee kwa haya anayoyafanya,
Unayo akili yakutosha mkuu CM 1774858
 
Asante Sana mkuu Otterhound ,

Tumuunge mkono Mama huyu hakika anania njema na Taifa hili,
Mama yetu kaletwa kiana na kiajabu.
Hatumii nguvu nyingi bali maneno yaliojaa hekima.

Mama yetu ameanza kuziondoa sheria za kipuuzi zenye kukanyaga haki ya mwanadamu kuishi.

Mama yetu anawaumiza wengi waliozoea kula bila kunawa kama mbwakoko Sabaya na wengine.

Mama yetu kama mzazi anajali shule za umma na watu wake.

Mama yetu kila siku anajifunza kwenda na wakati.

Sitashangaa kama mama yetu SSH kupewa NOBEL peace price.
 
Tanzania tupate wapi tena Mtu kama huyu ambae Mungu yuko ndani yake?

1. Rais anayeweza kutunga sheria itakayowafanya Watanzania hasa wanyonge wasilundikwe magerezani kwa kusubiri Upelelezi wa kesi zao Ukamilike,Sasa itakuwa ni marufuku kupeleka mtuhumiwa magereza kama Upepelezi wa kesi yake haujakamilika,

2. Rais anayeweza kutunga sheria yakuwafanya Polisi wasiwashikirie watuhumiwa kwa muda mrefu hasa baada ya kuachiwa na Mahakama wao huwakamata tena na kuwafungulia kesi ile ile Upya, Na kasi kupewa namba mpya hata kama inamiaka kumi Mahakamani, Chini ya Rais Samia Suluhu Hassan hili NO,

3. Rais anayeweza kufungulia vyombo vyote vya habari vilivyofungiwa kwa hila na nia ovu ya Mtangulizi wake bila kujali vyombo hivyo vilitoa ajira kwa maelfu ya Watanzania hawa Masikini kabisa,hapa niwaombe wanahabari fuateni miiko ya kazi zenu,be professional Rais Samia anawapenda msimuangushe.

4. Rais anayeweza kukutana na kinara wa Upinzani anayeishi Uhamishoni nchi Ubelgiji Mhe Tundu Antipus Mungwayi Lissu bila kujali nini watasema wasioitakia mema nchi hii,Mimi nauliza,Tanzania tupate wapi tena mtu kama huyu?

5. Rais anayeweza kudhibiti rushwa kwa kipimo cha CPI kutoka nafasi ya 94 Kati ya nchi 180 hadi kufikia nafasi ya 87 kati ya nchi 180,Kwa lugha nyepesi mtu huyu kwa muda huu mfupi amepunguza rushwa kwa nafasi 7 kidunia,Rushwa haipingwi kwa tumbuatumbua inapingwa kwa mifumo huru hasa " Uhuru wa habari "

6. Rais anayeweza kupewa Euro milioni 258 bure na Ufaransa karibu TZS 676.87BL na hii ni kutokana na mipango mizuri ya maendeleo inayoelezeka kimataifa,Nchi kama Ufaransa haiwezi kutoa pesa za bure kwa Rais asiyefahamu wapi anataka kufika,Tuunge mkono ziara hizi zinaleta matokeo makubwa kwa Taifa,

7. Rais anayeweza kutimua wakurugenzi wanne kwa mpigo kwa tuhuma za wizi na Ufisadi hii haijawahi kutokea kwenye Taifa hili,Watanzania lazima mwelewe huyu Mama ni mkali kuliko hata mtangulizi wake hasa kwenye " Rushwa na Ufisadi "

Tupate wapi tena mtu kama huyu?



Mambo mazuri kama.haya hawatayaona ila watauliza mbona Walinzi wa Rais wamevaa barakoa zimeandikwa Zanzibar..Hovyo kabisa.

Ndio maana wakati mwingine hutakiwi kuwatendea wema watu waliozoea tabu,ni kuwaacha hivyo hivyo.

Atokee tuu mtu mwingine dizaini ya Mwendazake Ili aliharibu awe anasingizia Mabeberu na Kuwalisha wajinga propaganda.
 
Back
Top Bottom