jino kwa jino
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 783
- 169
Wanajf kuna mdahalo unaendelea star tv kuhusu siasa nchni, kama kawaida Dar yupo tambwe hza na kafulila, mwanza yupo wenje na wanasheria wa saut
Ndo ule unaohusu siasa za arusha?
mkuu ningekujulisha ila tanesco wamechukua chao mapema
Hakuna tv za betry kama redio? Tunanyanyasika sana kama leo j2 tupo home tumepumzka tunapata newz wanakata umeme
Mwakabana vipi?mbona kimya
mjadala unaendelea naona kafulila is doing good coz ana link politics and economy if politics is bad then no good economy growth. Dah ila my poor Hiza ni ka chiz ivi coz stil ana link migomo ya vyuo na CDM dah this hopeless
Hakuna tv za betry kama redio? Tunanyanyasika sana kama leo j2 tupo home tumepumzka tunapata newz wanakata umeme
Heche: Wananchi wapuuze pumba za Hiza. Anapokea mshahara kwa kufanya propaganda, hana jambo la kweli au la maana analoweza kusema.