Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Heche kwa kugha ya kisasa, amempa Tambwe za uso kwamba yeye analipwa kwa kuchafua watu na kupindisha mambo. Anasema yeye hasimamii hoja zake, mfano alisema kuwa hawezi kutoka CUF lakini baadae akatoka na kuanza kuyapinga aliyoyasimamia akiwa CUF Wapiga kura wa kizazi hiki si watu wakusikiliza propaganda za Hiza!
Amani ni kuwaambia watu ukweli,asema Wenje.
Amani ni kuwaambia watu ukweli,asema Wenje.
Kwakuwa upinzani hakushinda havipaswi kufanya siasa mpaka uchaguzi ujao - Hiza
alisema(tambwe) hawezi kutoka cuf kwa sababu heri kulala(kufanya ngono) na mama yake mzazi kuliko kuhama cuf(kurudi ccm)
Tambwe: maaskofu kumkataa meya arusha ni udini!
Cheche/Data/Facts za Kafulila:
Serikali ya Mkwere iliahidi kupunguza umasikini kwa 50%.
2005: masikini walikuwa milioni 11. (REPOA)
2009: masikini walikuwa milioni 12 na laki 7. (REPOA).
Mimi sijui hasabu, elimu yangu ya ngumbalu............
hapo umasikini umepungua au umeongezeka?