shenz kabisa
yy hajui jukwaa jingine zaidi ya hili yan anajua akingia jf anaenda moja kwa moja hapa hajui kuwa yapo na majukwaa mengne,.ni kumsaidia tu hakuna sbb ya kumponda
mbona suala la kazi lime kuwa ndio mada kuu? Tuongee na mengine
mbona suala la kazi lime kuwa ndio mada kuu? Tuongee na mengine
Bayo nakuona ulivyokasirika