Yaani unataka mshauri uwe unamlipa mshahara au pia awe anakusaidia kazi Zako.? Tupo wazee ambao hatujazeeka. Fafanua kabla hatujaja dm.Nahitaji mtu mwenye akili na msomi ambaye nataka awe mshauri mkubwa wangu kwa mambo mbali mbali ya maisha yangu
Kama uko tayari ni text dm
Tuongee mambo mengine Niko serious bro’s
Nahitaji mtu mwenye akili na msomi ambaye nataka awe mshauri mkubwa wangu kwa mambo mbali mbali ya maisha yangu
Kama uko tayari ni text dm
Tuongee mambo mengine Niko serious bro’s
Sema unatafuta MUMENahitaji mtu mwenye akili na msomi ambaye nataka awe mshauri mkubwa wangu kwa mambo mbali mbali ya maisha yangu
Kama uko tayari ni text dm
Tuongee mambo mengine Niko serious bro’s