Tuongee na mengine

mbona suala la kazi lime kuwa ndio mada kuu? Tuongee na mengine



sina uhakika ila nadhani umetumwa kutuchokoza ss ambao bado tunatafuta ajira.
maana hatujakuelewa unamaanagani kuandika hivyo.
HUWEZI KUTUKATISHA TAMAA.

KWA MSAADA WA MUNGU KAZI TUTAPATA TU







MTAFUTAJI HACHOKI. HATA KAMA AKITUKANWA.
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom