Tuongee Leo Asubuhi Star Tv ni aibu

Sarakasi zishaanza Kuna nafasi ya ukurugenzi ipo wazi naona ndo imeanza kuwaniwa vikali
 
Hebu msomeni Paskali mwandishi na mtaalam wa sheria!!! Na usipomuelewa we we basi tena.
 
Naona sasa kujipendekeza kwa MNIKULU Kuna wafunga watu akili kwa ya UBONGO WA TUMBO SIYO WA AKILI STUPIDKD
 
Mkuu Gogo la Shamba, usipotoshe. Nilichosema rais wa Tanzania ni executive president na kauli yake ni kauli ya mwisho ambayo ni final na conclusive only if kauli hiyo itafuatiwa na waraka wa maandishi, GN notice yenye kutoa kanuni za utekelezaji na nikasisitiza sio kila kauli ya rais ni sheria.

Nikaeleza kuhusu kauli ya rais kuhifadhi fedha BOT imetekelezwa ila hakuna waraka unaozuia rasmi kufungua Fixed Deposit hivyo Gavana wa BOT na Msajili wa Hazina wako very right kutofautiana na rais kwa sababu sio kosa kufungua FDA hata kama rais hapendi, TRA hawakufanya kosa lolote kisheria ila wamefanya kosa la kimaadili kukaidi msimamo wa rais na ndio maana wametumbuliwa.

Paskali
Hakika kabisa
 
Huyo mwandishi anatafuta nafasi ya uteuzi, kwa hiyo anataka kutuambia raisi aliposema fyatueni watoto maana elimu ni bure maana yake ni lazima tutekeleze agizo la aina ile
Uliambiwa usitamani mali ya mwenzako kwenye amri kuu za Mungu WEWE umeacha?
 
Ili mada inoge ni vizuri kila MTU achangie kulingana na mawazo/maoni yake. Unapomshambulia mchangiaji eti kwasababu yuko tifauti na wewe, basis jijue una kasoro kubwa sana.
 
Nd.wana JF kama mtafuatilia yanayoongelewa leo kwenye STV tuongee Asubuhi ni haibu hasa pale muandishi anaposisitiza kwamba kauli ya rais ndio ya mwisho hata kama haina ukweli,hivyo kusitokee na mtu yeyote kuoji. kwa maana hiyo tuamini pamoja na yote aliyosema rais tukubali kuzaa sana,tukubali fedha zimefichwa kwenye magodoro n.k hii ni haibu kubwa kwa wana habari
Huwa nawaambia WAJAMAA NI LAANA KULIKO WAPAGANI. WAJAMAA HAWANA MUNGU NA MUNGU NI MWENYEKITI WA CHAMA.MUULIZE MCHINA AU MKOREA KASKAZINI AU MFUASI WA CASTRO. Ila utashangaa mungu wao anaposhindwa wanasema anahujumiwa ,sasa km anahujumiwa wanaomhujumu sio ndio wana kauli ya mwisho.Wanaanza kuita wewe ni kibaraka wa ubeberu. Ujamaa ni kifo ktk nchi. Km JK ALIKUJA NA POROJO KUHUSU KATIBA YA TUME YA WARIOBA WAKSHANGILIA NA KUSEMA KAWEKA SANA NA YEYE NDIO SAHIHI.KUNA UHAI TENA KTK TAIFA?
 
Wakuu kauli ya mwisho maana yake nini? Haipingwi au....? Au ni lazima itekelezwe ikishatolewa? Na kama haipingwi haipingwi na nani? Waliochini yake kiserekali au wananchi wote? Tusije tukawa tuna ongelea vitu tofauti. Tukumbuke kuna mahakama na bunge hata kama mkulu amesema yeye ndiye mtafutaji na mgawa mafungu.
 
Mkuu Gogo la Shamba, usipotoshe. Nilichosema rais wa Tanzania ni executive president na kauli yake ni kauli ya mwisho ambayo ni final na conclusive only if kauli hiyo itafuatiwa na waraka wa maandishi, GN notice yenye kutoa kanuni za utekelezaji na nikasisitiza sio kila kauli ya rais ni sheria.

Nikaeleza kuhusu kauli ya rais kuhifadhi fedha BOT imetekelezwa ila hakuna waraka unaozuia rasmi kufungua Fixed Deposit hivyo Gavana wa BOT na Msajili wa Hazina wako very right kutofautiana na rais kwa sababu sio kosa kufungua FDA hata kama rais hapendi, TRA hawakufanya kosa lolote kisheria ila wamefanya kosa la kimaadili kukaidi msimamo wa rais na ndio maana wametumbuliwa.

Paskali
.,we kibuyu gogo la shamba rudi hapa;alieiongea kauli huyu hapa!
 
Ndugu wana JF kama mtafuatilia yanayoongelewa leo kwenye STV tuongee Asubuhi ni haibu hasa pale muandishi anaposisitiza kwamba kauli ya rais ndio ya mwisho hata kama haina ukweli,hivyo kusitokee na mtu yeyote kuhoji.

kwa maana hiyo tuamini pamoja na yote aliyosema rais tukubali kuzaa sana,tukubali fedha zimefichwa kwenye magodoro n.k hii ni haibu kubwa kwa wana habari
Apimwe akili
 
Mkuu Gogo la Shamba, usipotoshe. Nilichosema rais wa Tanzania ni executive president na kauli yake ni kauli ya mwisho ambayo ni final na conclusive only if kauli hiyo itafuatiwa na waraka wa maandishi, GN notice yenye kutoa kanuni za utekelezaji na nikasisitiza sio kila kauli ya rais ni sheria.

Nikaeleza kuhusu kauli ya rais kuhifadhi fedha BOT imetekelezwa ila hakuna waraka unaozuia rasmi kufungua Fixed Deposit hivyo Gavana wa BOT na Msajili wa Hazina wako very right kutofautiana na rais kwa sababu sio kosa kufungua FDA hata kama rais hapendi, TRA hawakufanya kosa lolote kisheria ila wamefanya kosa la kimaadili kukaidi msimamo wa rais na ndio maana wametumbuliwa.

Paskali
Ni wewe tena umehusika hapo.Ndio maana nikuona maandiko yako huwa nayadharau sana. Sijui hata km mnafahamu kuchumia tumbo kwa namna hii ni hasara sana kwa nchi kuliko jambazi anayepiga risasi na kuiba.
 
Back
Top Bottom