Tuongee Leo Asubuhi Star Tv ni aibu

gogo la shamba

JF-Expert Member
Mar 1, 2013
6,670
2,165
Ndugu wana JF kama mtafuatilia yanayoongelewa leo kwenye STV tuongee Asubuhi ni haibu hasa pale muandishi anaposisitiza kwamba kauli ya rais ndio ya mwisho hata kama haina ukweli,hivyo kusitokee na mtu yeyote kuhoji.

kwa maana hiyo tuamini pamoja na yote aliyosema rais tukubali kuzaa sana,tukubali fedha zimefichwa kwenye magodoro n.k hii ni haibu kubwa kwa wana habari
 
Mleta sread umekurupuka, hiyo hoja anaelezea Mwandishi mwandamizi na Mwana jf kindakindaki Comred Paschal Mayala( Mwandishi Bora kabisa kwa mwaka 2016)


Na ameeleza vyema kabisa kauli ya rais inakuwa ni ya mwisho kama(executive) pale amabapo itaambatana na waraka, amabao utatangazwa kwenye gazeti la serikali!


Lakini amesiaitiza matamko mengi ya Rais haya amabatani na waraka!
 
Nd.wana JF kama mtafuatilia yanayoongelewa leo kwenye STV tuongee Asubuhi ni haibu hasa pale muandishi anaposisitiza kwamba kauli ya rais ndio ya mwisho hata kama haina ukweli,hivyo kusitokee na mtu yeyote kuoji. kwa maana hiyo tuamini pamoja na yote aliyosema rais tukubali kuzaa sana,tukubali fedha zimefichwa kwenye magodoro n.k hii ni haibu kubwa kwa wana habari
STV ndo kitu gani!!?
 
Nd.wana JF kama mtafuatilia yanayoongelewa leo kwenye STV tuongee Asubuhi ni haibu hasa pale muandishi anaposisitiza kwamba kauli ya rais ndio ya mwisho hata kama haina ukweli,hivyo kusitokee na mtu yeyote kuoji. kwa maana hiyo tuamini pamoja na yote aliyosema rais tukubali kuzaa sana,tukubali fedha zimefichwa kwenye magodoro n.k hii ni haibu kubwa kwa wana habari
Takataka gani hilo linadai hivyo, najua si ajabu ni lile sijui mosses! Hilo liko hivyo muda wote
 
Nd.wana JF kama mtafuatilia yanayoongelewa leo kwenye STV tuongee Asubuhi ni haibu hasa pale muandishi anaposisitiza kwamba kauli ya rais ndio ya mwisho hata kama haina ukweli,hivyo kusitokee na mtu yeyote kuoji. kwa maana hiyo tuamini pamoja na yote aliyosema rais tukubali kuzaa sana,tukubali fedha zimefichwa kwenye magodoro n.k hii ni haibu kubwa kwa wana habari
Likizo kumbe.
 
Mkuu Gogo la Shamba, usipotoshe. Nilichosema rais wa Tanzania ni executive president na kauli yake ni kauli ya mwisho ambayo ni final na conclusive only if kauli hiyo itafuatiwa na waraka wa maandishi, GN notice yenye kutoa kanuni za utekelezaji na nikasisitiza sio kila kauli ya rais ni sheria.

Nikaeleza kuhusu kauli ya rais kuhifadhi fedha BOT imetekelezwa ila hakuna waraka unaozuia rasmi kufungua Fixed Deposit hivyo Gavana wa BOT na Msajili wa Hazina wako very right kutofautiana na rais kwa sababu sio kosa kufungua FDA hata kama rais hapendi, TRA hawakufanya kosa lolote kisheria ila wamefanya kosa la kimaadili kukaidi msimamo wa rais na ndio maana wametumbuliwa.

Paskali
 
Nd.wana JF kama mtafuatilia yanayoongelewa leo kwenye STV tuongee Asubuhi ni haibu hasa pale muandishi anaposisitiza kwamba kauli ya rais ndio ya mwisho hata kama haina ukweli,hivyo kusitokee na mtu yeyote kuoji. kwa maana hiyo tuamini pamoja na yote aliyosema rais tukubali kuzaa sana,tukubali fedha zimefichwa kwenye magodoro n.k hii ni haibu kubwa kwa wana habari
yani kuna mtu haangalii kipindi wala hajui kilichosemwa kashakimbilia kucoment
"hakuna tofauti kati yao na siso" sote ni waropokaji,wakurupukaji, watu wa matamko
 
Nd.wana JF kama mtafuatilia yanayoongelewa leo kwenye STV tuongee Asubuhi ni haibu hasa pale muandishi anaposisitiza kwamba kauli ya rais ndio ya mwisho hata kama haina ukweli,hivyo kusitokee na mtu yeyote kuoji. kwa maana hiyo tuamini pamoja na yote aliyosema rais tukubali kuzaa sana,tukubali fedha zimefichwa kwenye magodoro n.k hii ni haibu kubwa kwa wana habari

Hayo maneno yanamaana gani kwenye? Kiswahili hamjui kingereza itakuwaje?
 
Mayalla kaongea vizuri mbona na hakuwa bias kuelezea hilo na ufafanuzi wake ulikua wa kisomi kabisa. Keep it up Paskali
 
Back
Top Bottom