gogo la shamba
JF-Expert Member
- Mar 1, 2013
- 6,670
- 2,165
Ndugu wana JF kama mtafuatilia yanayoongelewa leo kwenye STV tuongee Asubuhi ni haibu hasa pale muandishi anaposisitiza kwamba kauli ya rais ndio ya mwisho hata kama haina ukweli,hivyo kusitokee na mtu yeyote kuhoji.
kwa maana hiyo tuamini pamoja na yote aliyosema rais tukubali kuzaa sana,tukubali fedha zimefichwa kwenye magodoro n.k hii ni haibu kubwa kwa wana habari
kwa maana hiyo tuamini pamoja na yote aliyosema rais tukubali kuzaa sana,tukubali fedha zimefichwa kwenye magodoro n.k hii ni haibu kubwa kwa wana habari