Hi Swts Mi nipo Uganda kwa baba Museveni siwezi kuzungumzia mambo hayo.Kama huna haraka subiri nirudi Tiizeed ndo toyaongelee.
CC :Tyta,Miss Chagga,dikembe,Blue G,Crystal clear,Evelyn Salt et al
hahahah nimecheka hapo kwenye wowowo! Mbona hawanaga mawowowo sasa..wako flat mbaya.Wewe mwenyewe uliendika uzi huu yaelekea ni DUME NA UNAMEGWA! Na kati ya kiingereza na kiswahili na kikwenu lugha ipi unaijua?? Acha kushawishi watu USHETANI WAKO,'ETI WAKO POA' Mwanamme gani anaachia wowowo lake kwa wenzie alafu AKASIFIKA??
Hii comment ndo imenifanya niamini we ni dume, acha huo mchezo mchafu.
Halafu we si unao ndugu, hebu kawakusanye mlijadili hilo swala halafu utuletee mrejesho. Usituchoshe hapa.
Sijui mtoto ake akija kumsimlia kuwa anafi.rwa
atasifia pia kuwa mwanae yupo open
hatareeeeeeee
ndo hawa hawa watoto zao wakiharibika waaanza kulalamika watoto wa siku hizi blah blah kibao wakati hawakuwakunja angali makinda
Hujui hata kusoma , nimemaanisha, utakufa kwa kuuwawa na wananchi wenye hasira kali.
Hiv ukisikia baba yako anafirwa na boyfriend wako utajisikia poaa au unaturopokea kupitia mku ndun badala ya mdomonii
ushoga si tatizo la kibaolojia ni tatizo la kitabia. majukumu ya kibaolojia yafanywe kibaolojia, mwanaume ana ume na sehemu ya haja kubwa, huwezi badili matumizi ya lango wa kinyesi na kuwa lango la ume, laana hiyo, ke ziko nyingi kwann hizo zisitumike kama kazi yake ya msingi? unasema wako poa, assume boy au mume wako awe analiwa utajisikiaje, baba yako au kaka yako awe analiwa utajisikiaje kisaikolojia? wazungu wakianza kuoa mama zao nawe utaolewa na mwanao wa kiume? lazima tujifunze kujitofautisha na wanyama, ss ni mamalia tunawazidi mbuzi, kondoo na nguruwe kwa kuwa na akili. ACHA MTAZAMO WA KILAANA
Ww unayewaza nje ya box...umeona ushoga dili sio?
wazungu jamii yao tayari imeshaharibika na ushoga so wanataka waharibu na africa ni jukumu letu waafrica kulinda tamaduni zetu na sio kukubali kila kitu chao hiv ushoga ukikithiri kutakuwa na vizazi huko mbele.
Mambo. .Long time!
Natumai ur all fine.
Well I may sound funny..ila hili suala nashindwa nilichukulieje kwa jinsi flow ya mambo inavyokwenda Duniani kwa sasa hivi.
I know it's totally wrong but what should be done?
Binafsi ninao marafiki gay na they are the nicest people I've ever met.
Kwa wanaowajua hawa watu nadhani mnaelewa. .ni wanaroho nzuri kuliko straight guys. Sijui why but most of em are so cool.
One of my Co~worker ni mkaka na ni gay and very open about it. .and yeye ni KE in that relationship! Yes Strange but I always carried out with his relationship advises. .He is really funny and open so huwa namuliza maswali hapa na pale nini. .Dah !
and "boyfriend wake"..daaammn he is the fire. .Hot n goodlooking. .Yani najiulizaga why? Nakosa jibu. ukienda male strip clubs yallah usiseme.
anyways blah to the blah..
Kutokana na umaskini sijui tamaa na utegemezi uliokithiri hii kitu ikishikiwa bango na hayo mataifa kwa Tanzania kulegalize sidhani kama kuna kiongozi mwenye msimamo wa kupingana nao! wanaugulia kiundani tuu.
Pili je viongozi wa dini seem to have given up this battle.
At family level nako chenga chenga. .watoto wenyewe sikuhizi sio wa kiume sio wa kike wanafugwa kamasio kulelewa! unakuta mkaka anatwerk hataree!
Well nini kifanyike. Cos apart from hiyo kitu ni watu poa sana. .kuwaadhibu kwa sheria kali again who is perfect? and that's what makes them happy! je waachwe tuu au we unadhani utamsaidiaje ?
Kwa waelewa mtanielewa .Huwezi pita siku bila kukutana nao kama 3 or 4 both gender!
What is still going wrong? What has to be done? it is wrong but isn't it personal freedom?
Huwezi kuacha kila mtu afanye vile anavyotaka wakati sio kitu kizuri kimaadili ndio maana tunajiweka sheria kama mtu anataka kufanya anavyotaka aende huko wanaporuhusu.