Tuongee asubuhi na Albert Msando! Mada: Hama hama ndani ya vyama vya Siasa. Je, ni kukua kwa demokrasia au ni rushwa?

Namsikiliza, kiukweli huyu jamaa yuko vizuri, anazungumzia udhaifu mkubwa wa vyama vya upinzani nchini, ni kuitumia CCM kama role model ya chama tawala, hivyo concentration ya upinzani ni kutumia udhaifu wa CCM. This is very valid argument.

Niliwahi kusisitiza humu kuwa
CHADEMA mjitafakari msiwabeze wahamaji, wana hoja za msingi. Adui wenu mkuu sio CCM! Lazima mbadilike
CHADEMA ni sikio la kufa? Iambiwe vipi ili isikie? Masha ana hoja za msingi, zisikilizwe, zizingatiwe, zisipuuzwe!

Paskali
Uwezo wa kufikiri unapokoma wakati uwezo wa kunena bado upo,unafikiria nini kitatokea?
 
asiseme hakuna haja ya kuwa na upinzani tena labda atumie lugha nyingine tofauti ya hiyo ya hakuna haja,serikali sio malaika ni binadamu kama sisi lazima wapinzani wawepo ili kuwaobserve nan kukosa,kuelekeza na kuchangia mawazo mbadala
Anaongea hivyo sababu ya kukosa akili, robo tatu ya nyumba za wananchi wa Tanzania ni tembe alafu jitu pumbavu linasema kuna maendeleo ya kutosha huku hakuna madawa kwenye hospitali za umma, maji, barabara mbovu n.k
 
Kwa hiyo anataka kusema kwamba magufuli ni nabii? Hatafanya makosa? Amesahau kuwa kila binaadam hufanya makosa? Na je makosa ya magufuli nani atayasema? Akili za kuambiwa changanya na zako *****
 
Huyu bwana naye sometimes huwa haeleweki kabisa.
inawezekana kabisa, sio huwa haeleweki, bali uwezo finyu wa baadhi ya waelewaji, uko chini sana kiasi cha kushindwa kumuelewa!.

Kwa wale waelewa wa level ya kumuelewa, wanamuelewa vizuri sana, na yuko very consistency anasimamia nini, ila uwasilishaji wa mada zake ndio una levels tofauti, kwa walengwa tofauti, akiwasilisha mada very sensitive, to be on a safe side, ataiwasilisha kwa mtindo wa fasihi, ili only wale wenye uwezo to read in between the lines tuu ndio watamwelewa, nyinyi wengine mtabaki gizani na kutomwelewa!.

Poleni.

Paskali
 
Upinzani wa aina ya Mbowe na Zitto hauko sawa. Nakubaliana na wazo la kuwa ma chama cha upinzani kipya ili wanaoguswa na mabadiliko waungane kuipa changamoto CCM. Huwezi kuwa na EL(aliyeitwa fisadi1) au FTS (aliyeitwa zero) ukategemea tukuunge mkono
 
Namsikiliza, kiukweli huyu jamaa yuko vizuri, anazungumzia udhaifu mkubwa wa vyama vya upinzani nchini, ni kuitumia CCM kama role model ya chama tawala, hivyo concentration ya upinzani ni kutumia udhaifu wa CCM. This is very valid argument.

Niliwahi kusisitiza humu kuwa
CHADEMA mjitafakari msiwabeze wahamaji, wana hoja za msingi. Adui wenu mkuu sio CCM! Lazima mbadilike
CHADEMA ni sikio la kufa? Iambiwe vipi ili isikie? Masha ana hoja za msingi, zisikilizwe, zizingatiwe, zisipuuzwe!

Paskali
U pretending to know everything
 
paschal Mayala huwa nasikilizaga tu hoja zako ila ndani yake kuna uchama wa ccm ila unataka utuaminishe kuwa wewe ni mtetezi wa tabaka la wasakatonge kama mimi.
Nasubiria siku na wewe ujitambulishe kupitia CCM ili wasakatonge wenzangu waamini hiki nilicho kiandika.

AbraDaVinci
Mkuu,

AbraDaVinci siwezi kukuzuia kuwaza au kufikiri vyovyote unavyofikiri, endelea kusubiri, na utasubiri sana!.

Tembelea hapa unisome msimamo wangu kuhusu siasa za vyama
Sheria ya Uchaguzi Ni Bad Law!, Kuendelea Kuitumia ni Ujinga?, Kuwabebesha Masikini Gharama za Uchaguzi ni Dhambi!.
Paskali
 
Kama ni kweli anasema hivyo basi huyu mtu ana shida sana,

Yaani kwa sababu serikali inatimiza wajibu wake vizuri ndo kusiwepo na vyama vya siasa(pinzani),

Nchi kama marekani pamoja na maendeleo yake yote bado wana vyama vya siasa,

Nchi kama ile ambayo uwajibikaji wa serikali ni mkubwa sana bado tuna vyama vya siasa,

Hapa kwetu ka-nchi kadogo ka-hovyo kalikojaa ufisadi,matumizi mabaya ya dola, huduma mbovu za afya na utititiri wa matukio ya hovyo

Jamaa ana matatizo for real na hapo tumbo ndo linaongea
jimmyfoxxgongo huko Marekani watu wazima wanalala nje vibanzani soma hii
In his inaugural speech President Donald Trump noted that America have no great school, Americans wanted great schools for their children; America had no safe neighborhoods, Americans wanted safe neighborhoods for their families; America had no good jobs, Americans wanted good jobs for themselves; Mothers and children in inner cities are trapped in poverty, and rusted out factories are scattered like tombstones across the landscape of our nation. With all big ideas of development America education system although is flushed with cash, generate young and beautiful students deprived of all knowledge. In the midst of development America and its people face high rate of crime, gangs and the drugs which deprive people of so much unrealized potential (POTUS, 20th January, 2017).
 
inawezekana kabisa, sio huwa haeleweki, bali uwezo finyu wa baadhi ya waelewaji, uko chini sana kiasi cha kushindwa kumuelewa!.

Kwa wale waelewa wa level ya kumuelewa, wanamuelewa vizuri sana, na yuko very consistency anasimamia nini, ila uwasilishaji wa mada zake ndio una levels tofauti, kwa walengwa tofauti, akiwasilisha mada very sensitive, to be on a safe side, ataiwasilisha kwa mtindo wa fasihi, ili only wale wenye uwezo to read in between the lines tuu ndio watamwelewa, nyinyi wengine mtabaki gizani na kutomwelewa!.

Poleni.

Paskali
Mkuu Paschal binafsi nakukubali sana hapa jamvini kupita mtu yoyote, tatizo lako ni moja tu unaishi kwa kupima upepo over. Hebu niambie toka 1961 CCM imefanya nini cha maana ambacho ni tangible zaidi ya maigizo ya kila siku? Ukisema elimu nionyeshe mtoto wa mkubwa hata mmoja ambaye anasoma shule za public, afya nani mtoto wa mkubwa anatibiwa kwenye hizi dispensary n.k
 
Kilichopaaisha vyama vya upinzani kabla ya uchaguzi wa mwaka 2015 ni pamoja na kukemea kwa nguvu ufisadi, ukosefu wa huduma bora za afya, ajira, n.k. Vilikuwa na ajenda zenye mashiko na ambazo zilikuwa zinawagusa wananchi walio wengi. Walikuwa na sera ambayo wengi waliona ina nguvu na hivyo kuwafanya viongozi na wananchi wengi kuhamia huko.

Swali la kujiuliza kwa sasa ni: je, sera zao kwa sasa ni zipi? Je, zimeandikwa? Na kama zimeandikwa zinajulikana kwa watu? Je, kama zipo, ni kwa nini wanatumia muda mwingi kumtukana au kumkosoa raisi au CCM kwa lugha zisizo na staha? Kwa nini wanaishi kwa matukio na sio kwa sera?

Aidha ukosefu wa uhuru wa viongozi wao kusifia kinachofanywa na uongozi wa sasa unawafanya waliokuwa na msimamo wa dhati wa kutaka mabadiliko kuona heri wavuke upande wa pili (cross the floor) ili kwa dhati wawe sehemu ya jeshi la kupambania mabadiliko hayo! Sioni mahali rushwa inaweza kuwa sababu. Unawahonga kuhama ili iweje?

Je, na wanachama wanaohama wanahongwa ili iweje? CCM inazo fedha kiasi gani hicho cha kuwahonga viongozi na wanachama wa upinzani ili wahame?
Vyama hivi vinapaswa kujitafakari upya juu ya uwepo wa demokrasia ndani mwao lakini pia juu ya kuwa na sera makini.

Aidha wajue kwamba maendeleo hayana vyama na pale serikali inapochakarika katika kuleta maendeleo basi wasitie neno la kashfa. Kashfa zisizokuwa na ladha huwafanya wananchi kuwabeza na kwa hali hiyo kuwaondoa kwenye kumbukumbu zao wakati wa kura!

Jitafakarini!
 
Back
Top Bottom