masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 16,827
- 16,911
Tunaiomba serikali kwa mapana na mrefu…maamuzi yoyote yatakayochukuliwa yatizame madhara kwa short term na long term.
Kabla ya kufanya chochote kile lazima kiangalie je utatuzi huu hautaibua matatizo zaidi.
Chochote kitakachotokea huko mbeleni
Naiomba serikali isizime mtandao kwa gharama yoyote ile.
Kwa sababu nyingii sana
Ila moja ambayo ni kubwa ila sitaiongelea ni hosptal BIMA hazifanyi kazi bila mtandao
Ambalo naliongelea hapa ni kwamba safari hii wengine miti ya chrismas itafika january
Kwani ni wazi kampuni nyingi za meli kubwa za kuleta mzigo ukandaa huu zitasita port ya Dar es salaam. Kutokana na kile kilichotokea kuanzia jioni ya tarehe 29 Oct.
Na bado mambo hayajawa sawia
Mfumo wooote duniani wa meli ni kama utandobui umeunganishwa wooote. Kwa hiyo itilafu sehem moja inaathiri muunganiko wote.
Huu ndio msimu wa kuingiza mzigo kwa ajili ya mauzo ya mwisho wa mwaka.
Ila hatuja recover bado ile siku tano za mtandao kuzimwa…bado mizigo imejirundika haitoki hapo bandarini na mtandao umekua una sua sua
Ikishafika saa 12 jion mawasiliano yanakua magumu sana.
Kumbuka ile foleni ya siku tano bila kushusha na bila meli kuondoka ina madhara makubwa sana maana kila kitu kinafanywa timely.
Kurekebisha lile ni miezi ni tatizo dogo lakini ni kubwa sana
Naiomba serikali kwa chochote kitakachotokea huko mbeleni
Kuzima mtandao iwe ni swala la mwisho kabisa Tanzania.
Huu msimu ndio wakuziba magap ya mwaka mzima.
Mtatuua njaa wafanyabiashara
Kabla ya kufanya chochote kile lazima kiangalie je utatuzi huu hautaibua matatizo zaidi.
Chochote kitakachotokea huko mbeleni
Naiomba serikali isizime mtandao kwa gharama yoyote ile.
Kwa sababu nyingii sana
Ila moja ambayo ni kubwa ila sitaiongelea ni hosptal BIMA hazifanyi kazi bila mtandao
Ambalo naliongelea hapa ni kwamba safari hii wengine miti ya chrismas itafika january
Kwani ni wazi kampuni nyingi za meli kubwa za kuleta mzigo ukandaa huu zitasita port ya Dar es salaam. Kutokana na kile kilichotokea kuanzia jioni ya tarehe 29 Oct.
Na bado mambo hayajawa sawia
Mfumo wooote duniani wa meli ni kama utandobui umeunganishwa wooote. Kwa hiyo itilafu sehem moja inaathiri muunganiko wote.
Huu ndio msimu wa kuingiza mzigo kwa ajili ya mauzo ya mwisho wa mwaka.
Ila hatuja recover bado ile siku tano za mtandao kuzimwa…bado mizigo imejirundika haitoki hapo bandarini na mtandao umekua una sua sua
Ikishafika saa 12 jion mawasiliano yanakua magumu sana.
Kumbuka ile foleni ya siku tano bila kushusha na bila meli kuondoka ina madhara makubwa sana maana kila kitu kinafanywa timely.
Kurekebisha lile ni miezi ni tatizo dogo lakini ni kubwa sana
Naiomba serikali kwa chochote kitakachotokea huko mbeleni
Kuzima mtandao iwe ni swala la mwisho kabisa Tanzania.
Huu msimu ndio wakuziba magap ya mwaka mzima.
Mtatuua njaa wafanyabiashara