TUNU PINDA: Profile

Anatoka Tabora. Baba yake alikuwa fundi wa magari ya Ikulu enzia ya mwalimu Nyerere na Pinda alimpatia huko, kwa sababu yeye alikuwa Ikulu alikofanya kazi zaidi ya miaka 20 kama mmoja wa MAAFISA USALAMA.

duh!

Umetisha

huyo baba yake aliyekuwa fundi wa magari ya Ikulu alikuwa akiitwa nani?

je majina kamili ya huyu tunu kabla hajaolewa na Pinda ni yepi?
 
Anaitwa Mzee Abdallah Rehani na anaishi Tabata.

sasa kama baba yake Tunu anaitwa Mzee ABDALLAH REHANI je huyu TUNU majina yake kamili (kabla hajaolewa na pinda) ni yepi?

Dont tell me alikuwa akiitwa BINT ABDALLAH
 
Mkuu Kwemwale
Hongera kwa kumwaga A-Z maana hapa JF
kila kitu hadharani bila kufichaficha chochote.
 
ni utovu wa nidham tu hakuna kitu hapo ,, sasa cv ya huyu mama inatuhusu nini sisi,, wekeni na za watu wanao wahusu, kama wake zenu,, mama zenu,, na kaka, wajomba kila mtu hapa aweke cv ya mtu anaemhusu,, utoto tu hakuna kingine
 
Anatoka Tabora. Baba yake alikuwa fundi wa magari ya Ikulu enzia ya mwalimu Nyerere na Pinda alimpatia huko, kwa sababu yeye alikuwa Ikulu alikofanya kazi zaidi ya miaka 20 kama mmoja wa MAAFISA USALAMA.




kwa hiyo ni bookless siyo!kwa hiyo anachojua ni nanihiiiiiiii nimesahau vile
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…