Umenivunja mbavu mbwa wee😆Ina maana amekuweka hadharani ili akikuoaka mafuta watu wawe wanampigia makofi ili mayowe yako na vilio visisikike.
Kweli wewe Ni Bangida 😅😅😅😅Ina maana amekuweka hadharani ili akikuoaka mafuta watu wawe wanampigia makofi ili mayowe yako na vilio visisikike.
Kuna mke wa mtu ambaye natoka naye kwasasa tuna takribani siku 4 toka tupendane cha ajabu Mume wake ameweka picha yangu kwenye profil yake ya Facebook hii inamaana gani
Pole sana hapo soon unaenda kuchezea roketo,Kuna mke wa mtu ambaye natoka naye kwasasa tuna takribani siku 4 toka tupendane cha ajabu Mume wake ameweka picha yangu kwenye profil yake ya Facebook hii inamaana gani
mkuu naonaa umeamuaaa kumchana live .....Ina maana amekuweka hadharani ili akikupaka mafuta watu wawe wanampigia makofi ili mayowe yako na vilio visisikike.
Inamaanisha hivyo tu mkuu.Kuna mke wa mtu ambaye natoka naye kwasasa tuna takribani siku 4 toka tupendane cha ajabu Mume wake ameweka picha yangu kwenye profil yake ya Facebook hii inamaana gani