Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,863
- 93,641
Tulia wewe huu mziki ni mnene kwakoAcha bangi mdogo wangu.
Tulia wewe huu mziki ni mnene kwakoAcha bangi mdogo wangu.
Alitaka Mchele ununuliwe Tanzania, lakini pia sio kwamba ni mzalendo,Bali alitaka auze wakwake alio lima.JIULIZE AMEKUWA NA HURUMA LINI KWA WALALAHOI MPAKA LEO AOGOPE MCHELE HUO WA MSAADA?Labda ni hasira zake kwa nini chakula kinaletwa Tanzania, na ndugu zake huko Somalia hawapelekewi wakati wana matatizo makubwa kuliko ya Tanzania.
Bogus!Bwashee usiishi kwa kukariri kama Waisrael vs Hamas