Tungeishi vipi Duniani kama kusingekuwa na Kifo?

Tungeishi vipi Duniani kama kusingekuwa na Kifo?

Utasemaje hayupo wa kuhamisha, umejihakikishia vipi kua Hakuna mazingira yanayoweza kukupa wewe ushahidi wa mtu/kitu kufanya jambo pasipo kuacha ushahidi mpaka ukahitimisha kua "hayupo wa kuamisha"?
Nimehakikisha hilo sababu naishi pekee yangu, hakuna mtu yeyote anaingia na kutoka katika maeneo yangu isipokuwa mimi.

Pili njia za usalama kama kamera za ulinzi (CCTV) zinathibitisha hakuna mwingiliano wa yeyote anaingia isipokuwa mimi katika maeneo yangu (3 Dimension World).
 
Nimehakikisha hilo sababu naishi pekee yangu, hakuna mtu yeyote anaingia na kutoka katika maeneo yangu isipokuwa mimi.

Pili njia za usalama kama kamera za ulinzi (CCTV) zinathibitisha hakuna mwingiliano wa yeyote anaingia isipokuwa mimi katika maeneo yangu (3 Dimension World).

Kwaiyo CCTV mtu hawezi kuzi-hack?

It's Scars
 
Kwaiyo CCTV mtu hawezi kuzi-hack?

It's Scars
Inawezekana kuzi-configure tofauti! Lakini naamini hayupo aliyefanya hayo kwa upande wangu.

Na itakuwa ajabu ajabu mtu kufanya hivyo kusudi ahamishe tortillas au glass ya maziwa yangu.
 
Ebu fikiria kwanza hivi kungekuwa na raha gani kama kusingekuwa na Kifo?

Yaani binadamu na wanyama wasingekuwa na mwisho (immortal), tungekuwa tunaishi milele na milele kungekuwa na maana gani.

Ukatwe kichwa, wakupige mpaka uchakae, ugongwe na gari, ulipuliwe na bomu, upigwe risasi lakini hakuna kifo unajiunda na kujirudi upya.

Je, ugaidi ungekuwepo kweli? Wakujitoa muhanga wangekuwepo kweli?

Je, duniani tungekuwa tunaishi vipi?

CC Zero IQ
Kwa hesabu ya waliokufa ilivyo kubwa wala usingezaliwa

Jr[emoji769]
 
Kwa hesabu ya waliokufa ilivyo kubwa wala usingezaliwa

Jr[emoji769]
Kwa nini nisingekuwepo mkuu, Hesabu ya waliokufa ni ndogo kuliko hesabu ya walio hai
Assume kila anaekufa anaacha family ya watoto 2,
Na kila mmoja kati ya hao watoto wawili akifa kila mmoja anaacha watoto wawili wawili jumla 4,
Na hao nne wakifa wanaacha
wawili wawili jumla 8,

Kwa hesabu hiyo tu ya haraka haraka je unafikiri Wafu ni wengi kuliko walio Hai?


CC Zero IQ
 
Inawezekana kuzi-configure tofauti! Lakini naamini hayupo aliyefanya hayo kwa upande wangu.

Na itakuwa ajabu ajabu mtu kufanya hivyo kusudi ahamishe tortillas au glass ya maziwa yangu.
We unaweza ukaona ni ajabu lakini kwa upande wa pili ikawa kinyume chake kulingana na malengo yake.

Kwani hilo wazo la kuhisi kuna kiumbe kingine kitakua kimesababisha ulianzaje kulipa kipaumbele kama kweli unaona ni ajabu glass ya maziwa kuamishwa for no reason?

Huo ni mfano tu kuonesha namna nyingi ambazo zinaweza kufanyika ukakuta mpangilio wa vitu vyako umebadilika katika mazingira hayo pasipo wewe kusanuka kua mtu kafanya. Lengo langu ni kwamba jibu la "sijui" sometimes linakuweka katika uchunguzi ambao una wigo mpana
 
We unaweza ukaona ni ajabu lakini kwa upande wa pili ikawa kinyume chake kulingana na malengo yake.

Kwani hilo wazo la kuhisi kuna kiumbe kingine kitakua kimesababisha ulianzaje kulipa kipaumbele kama kweli unaona ni ajabu glass ya maziwa kuamishwa for no reason?

Huo ni mfano tu kuonesha namna nyingi ambazo zinaweza kufanyika ukakuta mpangilio wa vitu vyako umebadilika katika mazingira hayo pasipo wewe kusanuka kua mtu kafanya. Lengo langu ni kwamba jibu la "sijui" sometimes linakuweka katika uchunguzi ambao una wigo mpana
Nimefanya uchunguzi hadi kufikia hatua ya kugundua haya yote. Sio kwamba napatia kipaumbele bali ni uhalisia ambao umekuwa wazi kwangu.
 
Ebu fikiria kwanza hivi kungekuwa na raha gani kama kusingekuwa na Kifo?

Yaani binadamu na wanyama wasingekuwa na mwisho (immortal), tungekuwa tunaishi milele na milele kungekuwa na maana gani.

Ukatwe kichwa, wakupige mpaka uchakae, ugongwe na gari, ulipuliwe na bomu, upigwe risasi lakini hakuna kifo unajiunda na kujirudi upya.

Je, ugaidi ungekuwepo kweli? Wakujitoa muhanga wangekuwepo kweli?

Je, duniani tungekuwa tunaishi vipi?

CC Zero IQ
Ukweli ni.kwamba hakuna kifo.

The reason?

We were not born in this world. But this world was born into us.

So we don't die .
 
Kama tusingekufa basi na maisha yasingekuwa Kama aya kwaiyo kama maisha yasingekuwa hivi basi wala kusingekuwa na shida yoyote
Ebu fikiria kwanza hivi kungekuwa na raha gani kama kusingekuwa na Kifo?

Yaani binadamu na wanyama wasingekuwa na mwisho (immortal), tungekuwa tunaishi milele na milele kungekuwa na maana gani.

Ukatwe kichwa, wakupige mpaka uchakae, ugongwe na gari, ulipuliwe na bomu, upigwe risasi lakini hakuna kifo unajiunda na kujirudi upya.

Je, ugaidi ungekuwepo kweli? Wakujitoa muhanga wangekuwepo kweli?

Je, duniani tungekuwa tunaishi vipi?

CC Zero IQ
 
Anachokielezea ni kweli kabisa, ila kuna sehemu natofautiana nae, sababu hata ulimwengu wa kijini nao wanakufa na wanazikana kama sisi tu, na kinacho waua wao na siai ni hicho hicho.
Naomba kujuzwa kwenye hili,je? Majini nayo yanazikana ardhini au wana maeneo yao.
Mi ni mweupe kabisa kwenye hii elimu ya majini
Nalog off
 
Watu wasingezaa kama sasa. Kungepitishwa kakikundi cha watu tu dunia iwe mali yao basi. Hao wangehakikisha kila mtu anatolewa uzazi, kungekuwa na bodi ya kuzaa na kujaza dunia, wanawake wachache wangeteuliwa wakae humo kwa ajili ya kuzalishwa, vigogo ndo wangewazalisha.
 
Back
Top Bottom