Tungeishi vipi Duniani kama kusingekuwa na Kifo?

Tungeishi vipi Duniani kama kusingekuwa na Kifo?

Kwanza hujiuliza sababu zinazoweza pelekea kitu hicho kuhama. Ikiwa ni mtu kahamisha, nilisahau au kulikuwa na influence ya upepo na mwinuko.

Ikiwa vitu hivyo havipo na haziwezi kuwa sababu za awali basi nitarudi katika taadhia na ithibati kuu kwamba kuna kiumbe/kitu katika dunia nyingine kimefanya hilo suala yawezakuwa kwa kusudi au pasi ya kutarajia.
Ina maana mtu endapo akihamisha kitu kutoka sehemu uliyoiweka kwenda nyingine bila kuacha ushahidi ambao ungeweza kukusaidia kujua kua kimehamishwa na mtu, wewe utajuaje kwamba kitu hicho kimehamishwa na kitu kingine ambacho hujakijua na sio kwamba ni mtu tu aliyekihamisha bila kuacha ushahidi?
 
Zero IQ,
ni mawazo mazuri kuwaza vitu vingi ila kwa hili hapna mkuu ebu tuleteaa zile mambo unaweza kufanya kwa uzuri zaidi za kuchakata mbunye na kuchakata viazi kuwa chipsi.
 
Poa, una lingine kijana ?

Maana kujadiliana na mtu ambae hajui ameandika nini, ni matumizi mabaya ya muda na akili pia. Sasa hapo nikikuuliza uonyeshe wapi nilipo jikosoa, hutaweza halafu utaanza kunisumbua na kupoteza muda.
"Uelewa wako"
 
Zipo katika dunia hiyo uliyokuwapo na sio za kufikirika. Watu na viumbe vingine vingi na sehemu nyingine viumbe pungufu. Mnapishana kwa kutokuonana na baadhi ukuona.

Umewahi kuweka kitu sehemu na ukakuta kimehama pasi ya kuhamishwa na ukiwa na uhakika?
Unazungumza kuhusu nn? Nakufatilia ila sikupati, Yaani nyumba yangu ipo ila kuna watu wapo dimension ingine hawaioni halafu nikiweka chupa ya maziwa mezani inaweza sogezwa?
 
Kwanza hujiuliza sababu zinazoweza pelekea kitu hicho kuhama. Ikiwa ni mtu kahamisha, nilisahau au kulikuwa na influence ya upepo na mwinuko.

Ikiwa vitu hivyo havipo na haziwezi kuwa sababu za awali basi nitarudi katika taadhia na ithibati kuu kwamba kuna kiumbe/kitu katika dunia nyingine kimefanya hilo suala yawezakuwa kwa kusudi au pasi ya kutarajia.
Hii ni sayansi au imani?
 
Unazungumza kuhusu nn? Nakufatilia ila sikupati, Yaani nyumba yangu ipo ila kuna watu wapo dimension ingine hawaioni halafu nikiweka chupa ya maziwa mezani inaweza sogezwa?
Anachokielezea ni kweli kabisa, ila kuna sehemu natofautiana nae, sababu hata ulimwengu wa kijini nao wanakufa na wanazikana kama sisi tu, na kinacho waua wao na siai ni hicho hicho.
 
Anachokielezea ni kweli kabisa, ila kuna sehemu natofautiana nae, sababu hata ulimwengu wa kijini nao wanakufa na wanazikana kama sisi tu, na kinacho waua wao na siai ni hicho hicho.
Kwanini ni kweli kabisa? Sababu unaamini au sababu sayansi imethibitisha?
 
Kwanini ni kweli kabisa? Sababu unaamini au sababu sayansi imethibitisha?
Sio kila kweli imethibitishwa na Sayansi, sababu Sayansi kuna mengi haiwezi kuyajibu, kama vile haijibu kifo ni nini na hufata nini mtu baada ya kifo?

Kweli kabisa sababu vitu hivyi vipo na uhalisia na sio mambk ya kufikirika.
 
Sasa ndio usirudie kile kilicho isha, jenga hoja tuendelee. Kama huna hoja sema.
Nijenge hoja gani, wakati tushahitimisha palipokua panaleta utata wa mimi na wewe kutoelewana?

We kama una hoja iweke mi nitachangia
 
Nijenge hoja gani, wakati tushahitimisha palipokua panaleta utata wa mimi na wewe kutoelewana?

We kama una hoja iweke mi nitachangia
Sina hoja, sababu kazi yangu nimemaliza. Hakuna tulipo hitimisha kijana mimi na wewe, sababu mimi katika mijadala kama hii hitimisho sio lengo, nali huwa napomaliza kazi yangu nasema kazi yangu imeisha. Sasa sababu ushaamua kuvaa vazi la UONGO, endelea kupambika kwalo kwa kusema kwamba tumehitimisha wakati ukweli ni kwamba umeshindwa kukijengea hoja ulichokisema hapo awali.

Nimemaiza.
 
Sina hoja, sababu kazi yangu nimemaliza. Hakuna tulipo hitimisha kijana mimi na wewe, sababu mimi katika mijadala kama hii hitimisho sio lengo, nali huwa napomaliza kazi yangu nasema kazi yangu imeisha. Sasa sababu ushaamua kuvaa vazi la UONGO, endelea kupambika kwalo kwa kusema kwamba tumehitimisha wakati ukweli ni kwamba umeshindwa kukijengea hoja ulichokisema hapo awali.

Nimemaiza.
Mbona unalalamika sana vipi?

Kipi ambacho nimeshindwa kukijengea hoja?
 
Inamaana mtu endapo akihamisha kitu kutoka sehemu uliyoiweka kwenda nyingine bila kuacha ushahidi ambao ungeweza kukusaidia kujua kua kimehamishwa na mtu, wewe utajuaje kwamba kitu hicho kimehamishwa na kitu kingine ambacho hujakijua na sio kwamba ni mtu tu aliyekihamisha bila kuacha ushahidi??
Nimeeleza hivi "..... sababu zinazoweza pelekea kitu hicho kuhama. Ikiwa ni MTU kahamisha, nilisahau au kulikuwa na influence ya upepo na mwinuko."
 
Nimeeleza hivi "..... sababu zinazoweza pelekea kitu hicho kuhama. Ikiwa ni MTU kahamisha, nilisahau au kulikuwa na influence ya upepo na mwinuko."
Pia ukaenda mbali zaidi ukasema "Ikiwa vitu hivyo havipo na haziwezi kuwa sababu za awali basi nitarudi katika taadhia na ithibati kuu kwamba kuna kiumbe/kitu katika dunia nyingine kimefanya hilo suala yawezakuwa kwa kusudi au pasi ya kutarajia."

Hapa kwenye hoja hiyo niliyo kunukuu nilipata shaka kidogo, nikajiuliza we utajuaje kua vitu hivyo vinavyoweza kusababisha kitu kuhamishwa havipo?

Nikiwa na lengo kua vitu hivyo vinaweza vikawa vimesababisha hicho kitu kuamishwa ila kukawa hakuna tu ushahidi kuonesha vitu hivyo ndio sababu. Sasa hoja yako ya kutafuta kiumbe kingine ambacho unahisi kua kitakua ndio sababu huoni kwamba itakua ni potofu?

Na ndio maana Nikakuuliza "Inamaana mtu endapo akihamisha kitu kutoka sehemu uliyoiweka kwenda nyingine bila kuacha ushahidi ambao ungeweza kukusaidia kujua kua kimehamishwa na mtu, wewe utajuaje kwamba kitu hicho kimehamishwa na kitu kingine ambacho hujakijua na sio kwamba ni mtu tu aliyekihamisha bila kuacha ushahidi??"
 
Back
Top Bottom